Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,681
- 11,122
Turudi kwenye uhalisia. Tuseme angekuwa baba yake mzazi angelifanya kama alivyofanya?Mimi namlaumu Albert bashite nahisi mkono wake upo katika hili japo hakutamka hadharani kama alivyofanya kipindi kile.
Sent From Galaxy S20 Ultra
God save us