Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,045
- 10,329
Kwa ajali tu zilotokea mwaka huu ...madaktari wameokoa roho za wangapi nchi hii, kwa magonjwa magumu kama cancer na mengine, achana na operation unajua ni kazi ngumu kiasi gani ?????
Mwalimu anae tumia muda mwingi kufundisha, uku akifanya kazi kwenye mazingira magumu ili tu watoto wetu waelewe, amefaidika na nn????
Pamoja na sector zingine za kufanya kwa kujitoa.. Kwann ajaanza na hao angalau kutambua michango yao...
Leo wanapongezwa waigizaji wanao igiza uasilia wa nje na wengine ata kufungiwa kwa kutia aibu!!!!!!????????
Nchi haiendeshwi kama Kama unavyotaka wewe.rais ana ratiba ya nini cha kufanya na kwa wakati gani. Sasa hizi akili zenu Kama watu waliochaganganyikiwa za kujifanya mna uchungu sana na wananchi ni unafiki uliopitiliza. Mnajifanya mna uchungu Mbowe anapiga pesa kama kawaida