Hiram Abiff
JF-Expert Member
- Apr 14, 2013
- 896
- 676
clouds wamechangamkia fursa
Wasani wengi ni shuleless so njia yao ya kuishi ni kwa kujipendekeza....
Wasanii ndio wamemuandalia
Cdm imejaa watu wanafiki sana kama huyu mleta maada!! Wivu wa nini sasa!? Unataka ualikwe wewe!? Unataka ushikwe wewe mikono ndo uridhike!? Siasa za kijingajinga hizi mziache! Wangekuwa wameitwa na Lowassa ungekuja mbio mbio na uzi hapa!?
Ni watu wazima, wanaakili timamu, mambo ya kuwachugulia cha kufanya ni upuuzi
Na wataabika sana mwakani wakati wanafunzi wanoongoza mitiani ndio watakuwa wanaalikwa ikulu huku wafanyakazi bora wa taasisi mbalimbali wakiwa wanaalikwa ikulu
Hahaha nimeipenda hii
Wasanii wengi akili zao haziko vizuri. Wawe wa muziki au wa filamu hawana uwezo wa kutafakari jambo lolote kiumakini, pia hawakujaliwa uwezo wa kutazama mbele.
Ndio maana akina Wema sepetu na Afande sele walipiga picha wakiwa uchi.
Sasa Mkuu hao wasanii wa bongo fleva na Bongo move wako wapi apo kwenye picha zaidi ya Dangote.....!!View attachment 274032
Je wasanii hawa ni sehemu ya mabadiriko? kweli tunasafari ndefu wamejuaje kaama magufuri ndiye atashinda.............. au ndo lie goli
Pia hawajui kazi zao zina mashabiki wa vyama vyote? Shame
BADO WANAENDELEA KUSALIMIANA NA Rais na jopo lake....................
RAIS AMEKETI SASA WIMBO WA TANZANIA TANZANIA UNAIBWA KWA MADAA NADHANI HUYU NI RUBY........
Rais anaimbiwa live na Fid Q
Jose mara anaimba