Wanajamvi wote wapenda mabadiliko tunajua uwezo wa kufikiri wa wasanii wa kitanzania,ccm imeshawapa pesa wakiamini ni watu muhimu kuwapigia kampen,kwa mtu makini siamini kama utapoteza muda kutakanana nao mitandaoni sababu wameshakula cha watu,upande wangu mimi ni kufanya jambo dogo tu 'UNFOLLOW THEM' nimeshaanza na shilole,wema,petitit,kupendezaraha na mwingine nitakayeon upeo wake wa kufikiri mdogo au mwenye maslahi binafsi bila kujali wengine ambao wanateseka kwa utawala huu wa kipumbavu wa tangu enzi,kama unaweza nijoin katika hilo zoez