Wasanii na matumizi ya supa sembe

Wazabanga kuku

JF-Expert Member
Dec 13, 2016
264
378
1e0ad70f1d73778935a660d2f33ed1e8.jpg
 
Halafu kuna mijitu inasimama hadharani na kuwatetea wanahusika na kusambaza madawa eti oo wanaonewa. Sasa hawa tunawaona kwa vile walikuwa watu maarufu. Je kuna vijana wangapi wanaangamia na mihadarati. Sote tuungane kwa pamoja ktk vita hii. Tusifanye siasa maana madawa yanatuathiri wote bila kujali vyama vyetu. Makonda amethubutu ni zamu ya watanzania sasa kuthubutu. Tutoe ushirikiano pale tunapoona inastahili, kama njia inayotumika unahisi si sahihi toa maono yako na si kubeza jitihada za wengine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom