Wasanii na janga la dawa la kulevya

kipusi

JF-Expert Member
Sep 29, 2015
443
75
Madawa ya kulevya Ni tishio kwa vijana nchini haswa wasanii, wasanii wetu mnatakiwa kubadilika na kutambua matumizi ya madawa ya kulevya yanaathiri nguvu kazi ya taifa haswa vijana kwa kuwa nyie ndio kioo cha jamii.TUBADILIKE TANZANIA BILA MADAWA YA KULEVYA INAWEZEKANA.
 
Worst part is,ambao hawautumii ndio wanauuza na kuusambaza. But all in all huwezi kumkosea Mungu halafu akakuacha hivihivi tu,maisha ya wasanii wengi wa TZ ni ya maasi sana.
 
Back
Top Bottom