baba anjela
JF-Expert Member
- Mar 17, 2013
- 431
- 310
Kilichotokea kitakuwa ni kipimo tosha kujuwa... wasanii wetu ni vi.du.du mtu au ni wasanii wenye misimamo..
Mh alijaribu kuwatetea ktk kila kona, bila kujali hata maslai yake binafsi...mpaka kuchukua hatua mbazo najuwa kabisa aliijuwa ghalama yake...ila aliweka mbele kile alichokiamini yeye.
nasubiri kuona tamko la wasanii ktk hiki kilichomkuta ndugu yetu
Mh alijaribu kuwatetea ktk kila kona, bila kujali hata maslai yake binafsi...mpaka kuchukua hatua mbazo najuwa kabisa aliijuwa ghalama yake...ila aliweka mbele kile alichokiamini yeye.
nasubiri kuona tamko la wasanii ktk hiki kilichomkuta ndugu yetu