Wasaka ajira

Wasaka ajira

dogodogo 2

Senior Member
Joined
Jul 15, 2017
Posts
114
Reaction score
61
Tujuzane hapa gharama
645de26b98584d4acf003bfecd787245.jpg
 
maana yake unapotuma copy ya cheti chako kiwe na muhuri wa mwanasheria anayetambulika na serikali.
 
Amesomea komputa,biashara veta miaka miwili na amekuwa akisimamia petrol station 2 kwa maana kutuma order ya mafuta kulingana na mahitaji kusoma pump kujua mafuta kiasi gani yameuzwa kwa siku kufunga hesabu ya siku ana uzoefu wa miaka zaidi ya minne kwa hii ya petrol station lakini ni mtaalam wa mambo ya stationery pia no yake0714400414

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa heshima na taadhima wadau naja tena kumuombea KAZI iwe ya msaidizi wa ofisi,petrol station, recording, mwenye ujuzi wa computer kwa simu no 0788997980 au stationery yuko tayari amesomea biashara na ana uzoefu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom