Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Shida ni kwamba, huwa mizigo inapokelewa /kushushwa mapema na separate kabisa na wewe uliye ndani ya ndege na begi lako dogo.
Mara kadhaa ninapokuwa natoka Dubai, China au South Africa huwa siwi na amani na mizigo yangu kutokana na wizi wa mara kadhaa ambao vijana wa (Swisspot) pale Uwanja wa Ndege wanapopiga ndole a.k.a searching.
Unakuta ukijisahau tu ukaweka camera, saa, simu au vitu vidogo kubebeka, imekula kwako. Na sijui huwa wanajuaje kwamba begi husika lina kitu wanachotaka. Mara nyingi huwa hawakosei. Wakichana begi, lazima wakute "mtonyo". Ukilalamika unakuwa unapoteza muda tu.
Dawa yao ni kukaa na vitu vya thamani ndani halafu lile begi kubwa unaweka nguo za hovyo ikiwezekana matambara ukiwa umefunika nyoka aina ya black Mamba au mawashawasha.
Huwa washenzi sana wapiga ndole pale JNIA Dsm.
Take care.
Kama umewahi ibiwa tupe dondoo kidogo na mbinu za kuepuka.
Mara kadhaa ninapokuwa natoka Dubai, China au South Africa huwa siwi na amani na mizigo yangu kutokana na wizi wa mara kadhaa ambao vijana wa (Swisspot) pale Uwanja wa Ndege wanapopiga ndole a.k.a searching.
Unakuta ukijisahau tu ukaweka camera, saa, simu au vitu vidogo kubebeka, imekula kwako. Na sijui huwa wanajuaje kwamba begi husika lina kitu wanachotaka. Mara nyingi huwa hawakosei. Wakichana begi, lazima wakute "mtonyo". Ukilalamika unakuwa unapoteza muda tu.
Dawa yao ni kukaa na vitu vya thamani ndani halafu lile begi kubwa unaweka nguo za hovyo ikiwezekana matambara ukiwa umefunika nyoka aina ya black Mamba au mawashawasha.
Huwa washenzi sana wapiga ndole pale JNIA Dsm.
Take care.
Kama umewahi ibiwa tupe dondoo kidogo na mbinu za kuepuka.