Atclkwanza
JF-Expert Member
- Dec 20, 2015
- 823
- 998
WE jamaa hapo umeongeza chunvi ila pole yakoMwaka 2014 wakati naondoka Bongo kwenda Ulaya.....jamaa waliniambia nivue saa yangu pamoja na laptop yangu niweke waiscan pale kwenye ule mkanda. Nikafanya hivyo, at the same time wengine kwa makusudi wakawa wananisemesha na kunipoteza malengo ili waniibie kumbe mwenzao nilishatonywa na jamaa yangu anayefanya kazi pale. Ile kugeuka kuangalia vitu vyangu nikaona jamaa wa Swissport kabeba simu yangu anaondoka nayo. Nikamrukia na kumtandika bonge la kichwa na kumpiga loba anipe simu, kujitetea akasema aliichukua ili akaicheki chumbani kwao. Kuja polisi na kuwaelezea kilichojiri wakaanza kulaumiana wenyewe kwa wenyewe nami nikajisepia zangu huku jamaa akikanda pua yake kutokana na majeruhi. Dawa ya wafanyakazi wa swissport ni kuwaua tu au kuwakomesha kwa kichapo cha kufa mtu ndipo wataacha wizi.