Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,936
- 4,347
Wasafi Media ilianza kwa mbwembe nyingi, lakini muda unavozidi kwenda naona hamna jipya. Nilitegemea Wasafi wataleta vitu vipya.
Muda unavozidi kwenda, yaani wanaonesha dhahiri hawana jipya kwenye industry ya media zaidi ya c&p. Vipindi vyote vya redio ni c&p ya Clouds. Mmeweka Michezo asubuhi baada ya kuona Efm wanafanya. Mkagawa mafuta bure baada ya kuona Efm wanafanya.
Refresh kipindi cha jioni mkaona muige kabisa EATV jinsi wanavoenda mtaani kuchukua maoni ya watu. Kipindi cha Uswazi cha EATV mkaona kabisa mkilete kwenu ila mkabadilisha jina tu.
Ushauri: Diamond Platnumz utapoteza pesa nyingi kununua watu ili ubebe media yako lakini utashia kupoteza pesa yako bure.
Wasanii wanalalamikia TV yako especially Wachanga kwamba hupigi nyimbo zao. Unapiga za Nigeria na nje.
Muda unavozidi kwenda, yaani wanaonesha dhahiri hawana jipya kwenye industry ya media zaidi ya c&p. Vipindi vyote vya redio ni c&p ya Clouds. Mmeweka Michezo asubuhi baada ya kuona Efm wanafanya. Mkagawa mafuta bure baada ya kuona Efm wanafanya.
Refresh kipindi cha jioni mkaona muige kabisa EATV jinsi wanavoenda mtaani kuchukua maoni ya watu. Kipindi cha Uswazi cha EATV mkaona kabisa mkilete kwenu ila mkabadilisha jina tu.
Ushauri: Diamond Platnumz utapoteza pesa nyingi kununua watu ili ubebe media yako lakini utashia kupoteza pesa yako bure.
Wasanii wanalalamikia TV yako especially Wachanga kwamba hupigi nyimbo zao. Unapiga za Nigeria na nje.