mr gentleman
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,221
- 4,692
Anaitwa John Makini aka Mwamba Wa Kaskazini au Jay Z wa Arusha.
Huyu jamaa hataki kabisa kuwapa ushirikiano Wasafi Media. Daima anaikimbia mic ya Wasafi.
Akiitwa kwa ajili ya interview haendi.
Kufatwa hataki.
Alishakubarigi kwenda studio kwenye kipindi cha block 89 lakini dakika za mwisho akatoa udhulu.
Ni mtu anaeonekana hapendezwi na uwepo wa Wasafi.
Je ana shida gani na Wasafi?
Huyu jamaa hataki kabisa kuwapa ushirikiano Wasafi Media. Daima anaikimbia mic ya Wasafi.
Akiitwa kwa ajili ya interview haendi.
Kufatwa hataki.
Alishakubarigi kwenda studio kwenye kipindi cha block 89 lakini dakika za mwisho akatoa udhulu.
Ni mtu anaeonekana hapendezwi na uwepo wa Wasafi.
Je ana shida gani na Wasafi?
, Ukienda mwanza msanii wao Best Nasso, mbeya msanii wao ni mr. Xmass etc etc. Nyinyi mkijikusanya wala sio ukabila lakini sisi tukimind our own business inakuwa ukabila, kunya anye kuku, akinya bata kaharisha.