PURT50
Member
- Oct 20, 2018
- 43
- 36
Hizi ni baadhi ya kauli za wapinzani miaka ya nyuma...
1.Tunataka rais ambaye hatààngalia surà yà mtu(John Mnyikà 2012 àkiwa Kilombero,Morogoro)
2.Tunataka Rais mkali asiyechekachekà na mtu(Peter Msigwa akihutubia Mbeya)
3.Tunàtaka Rais asiyesàfirisafiri nje(Freeman Mbowe akiwa Kànda ya Ziwa 2013)
4.Nchii hii inahitaji Rais dikteta na si vinginevyo(Tundu Antipas Lissu akiwa Dar es Salaam)
5.Tunataka Rais atakayekuwa akikusanya kodi( Freeman Mbowe akiwa Tandahimba)
6.Tunataka Rais ambaye atarudisha nidhàmu serikàlini(G.Lemà akiwa Mbeya)
7.Nchi hii inahitàji Rais atakaye wafunga jela mafisadi( John Heche akiwa Tarime)
8.Tunàtàka Rais ambaye atalinda maliasili zetu( Mch.Msigwa akiwa bungeni 2014)
Baada ya 2015 wamebadilika.........
Is Magufuli the right choice?... Kwa upande wangu kweli Magufuli is the right choice na anastahili kuwepo alipo. How do you think about it wana JF?
1.Tunataka rais ambaye hatààngalia surà yà mtu(John Mnyikà 2012 àkiwa Kilombero,Morogoro)
2.Tunataka Rais mkali asiyechekachekà na mtu(Peter Msigwa akihutubia Mbeya)
3.Tunàtaka Rais asiyesàfirisafiri nje(Freeman Mbowe akiwa Kànda ya Ziwa 2013)
4.Nchii hii inahitaji Rais dikteta na si vinginevyo(Tundu Antipas Lissu akiwa Dar es Salaam)
5.Tunataka Rais atakayekuwa akikusanya kodi( Freeman Mbowe akiwa Tandahimba)
6.Tunataka Rais ambaye atarudisha nidhàmu serikàlini(G.Lemà akiwa Mbeya)
7.Nchi hii inahitàji Rais atakaye wafunga jela mafisadi( John Heche akiwa Tarime)
8.Tunàtàka Rais ambaye atalinda maliasili zetu( Mch.Msigwa akiwa bungeni 2014)
Baada ya 2015 wamebadilika.........
Is Magufuli the right choice?... Kwa upande wangu kweli Magufuli is the right choice na anastahili kuwepo alipo. How do you think about it wana JF?