Was Jesus Black?

Was Jesus Black or White?


  • Total voters
    127
Kingereza ulichokariri ni hicho tu cha so what?
 
Kumbe unaamini kwamba yesu alikuja ulimwenguni! Huo mwanzo mzuri maana yake kama ukijua yesu alikuja basi najua pia utakua unaamini alikuja kwa malengo gani na kwa ajili ya utukufu wa nani! !
 
Bennie siku hizi anapatikana kwa nadra sana

Vipi sweden upo na shem?
Atakuwa kashaoa wake wawili huyu.

Ndio tupo wote. Tunasukuma gurudumu la maisha tokea pande hizi.
Sasa naona na muda wangu wa kuwepo hapa nao umekwisha
. Hivi mkuu we unakesha Leo?
 
Atakuwa kashaoa wake wawili huyu.

Ndio tupo wote. Tunasukuma gurudumu la maisha tokea pande hizi.
Sasa naona na muda wangu wa kuwepo hapa nao umekwisha
. Hivi mkuu we unakesha Leo?

Mie popo mkuu

Hapa kwetu kuna kigodoro si kidogoro basi kelele tu

So nimeamua kuuchunia usingizi leo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…