TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,870
- 5,755
Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) inadaiwa kuwa unakusudia kumsimamisha Jaji Mstaafu, Joseph Sinde Waryoba kuwania Urais mwaka huu dhidi ya wagombea wa vyama vingine, kikiwemo chama cha Mapinduzi (CCM).
Vyanzo habari kutoka ndani ya UKAWA vimeeleza kwamba uamuzi wa kumsimamisha Jaji Waryoba unazingatia vigezo mbalimbali kikiwemo kuepuka mvutano baina ya vyama hivyo vinne vinavyounda huo umoja juu ya nani awe mgombea wao wa urais .
Chanzo: Dira ya Mtanzania
Vyanzo habari kutoka ndani ya UKAWA vimeeleza kwamba uamuzi wa kumsimamisha Jaji Waryoba unazingatia vigezo mbalimbali kikiwemo kuepuka mvutano baina ya vyama hivyo vinne vinavyounda huo umoja juu ya nani awe mgombea wao wa urais .
Chanzo: Dira ya Mtanzania