Warioba Anataka Nini Hasa?

Atakuelewa?
 
lE mUTUZ sYSTEM[/QUOTE]

na wewe pia kumbe ni mwanafunzi. Unaandikaje hivyo?
 
Leo nimehisu kuwa Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya
Gazeti la Jambo leo+ CCM
 
Jamani, kwa nini mnamtaja sana Mzee Warioba kama vile tume ilikuwa ni ya mtu mmoja? Mbona yeye hajataja mtu yeyote (personally)? Kama maoni yameletwa kwenye bunge maalum la katiba basi yajadiliwe na uamuzi upatikane, halafu upelekwe kwa wananchi waupitishe au waukatae.

Kama mnadhani Tume iliyoongozwa na Mzee Warioba haikuacha tundu la mtu mwingine kutokea kwa uamuzi mbadala, basi jumuisho litakuwa kwamba maoni yaliyowasilishwa yako sahihi.

Kama kuna hoja inayopingwa Bunge maalum la katiba liipinge bila chuki wala matusi halafu liletwe kwetu sisi wananchi tupitishe bila kupoteza muda.

Tusigombee fito wakati tunajenga nyumba moja
 
Jaji Joseph Sinde Warioba na tume yake wameonyesha umakini mkubwa. Jaji Joseph Sinde Warioba anafaa kuwa Rais wa Muungano 2015!
 

criminology unaijulia wapi wewe? watu wanazungumza katiba wewe unazungumza sayansi ya jinai ni wapi na wapi? acha mbwembwe bhana hakuna wa kudanganywa humu warioba ni safi kuliko mzee wako aliyezaa kila sehemu.
 
We jamaa kichwa chako sijui kiko. Hata ukisikia bado huwezi kupambanua. Unasema Warioba aliongoza kamati ya rushwa nchini na unasema sijui iliishia wapi na unasema hujawahi kusikia akilalamika. Mbona jana hiyo hiyo kasema kwa kukithili kiwango cha rushwa tayari jeshi lingekuwa limepindua nchi? Km huna uwezo wa kupambanua mambo mpaka umpigie simu baba yako hilo tatizo lako. Unadhani kwa nn analalamika kwamba rushwa imekithili?....We km kweli hujatumwa ni tume ngapi zimeundwa kwa ajili ya mambo kibao na zipo kapuni, mpaka tuzitaje?.....MPENI HAKI YAKE MH JAJI JOSEPH SINDE WARIOBA.
 
"sasa kwenye hili la kulilia Serikali ya Tanganyika mbona ana vita vikubwa sana na Taifa kwamba ni lazima wote tukubali mawazo yake tu?"
Mkuu @Le Mutuz hili taifa unalozungumzia hapa ni watu/kundi lipi?
 
Last edited by a moderator:
hebu mwambie babke aliyekuwa waziri mkuu alifanya kipi cha maana kipindi chake?au unamsema mzee warioba kwasababu kaongea ukweli
 
Jaji Joseph Sinde Warioba na tume yake wameonyesha umakini mkubwa. Jaji Joseph Sinde Warioba anafaa kuwa Rais wa Muungano 2015! Atajua jinsi ya kupambana na Rushwa; kuendesha nchi ili isipinduliwe na jeshi kama wanavyozusha!
 
Sijaona kibaya alichoongea,na sioni tatizo kwa nini alikwenda kuongea sababu alialikwa,hivyo mngeanza na mualikaji.

Na ameeleza vizuri tu.Kuna tunao support serikali mbili lakini iwe na marithiano ya pande zote mbili,na kama alivyoeleza vizuri Judge Warioba,hauwezi kurudi kwenye serikali mbili sababu katiba ilishavunjwa siku nyingi,na matatizo siyo 22 tu bali hata huo muungano wa serikali mbili haupo na hautatekelezeka hadi pale marekebisho au turidi kwenye katiba ya zamani ambapo Zanzibar irudi kuwa sehemu tu ya Tanzania Bara na si nchi.

Na hiki amekieleza vizuri na ninakubaliana naye ,siyo rahisi kwa Zanzibar kurudi kule walikokukataa,lakini ni nani anayetakiwa kuwa muasi ni Warioba wale waliovunja Katiba?

Na waliovunja Katiba ndiyo wapiga makelele na kutupa matusi kwa Warioba,jamani Warioba hajawaambia mvunje Katiba,mlilikoroga mlinywe wenyewe ,msimtupie lawama mzee wa watu,mwacheni ale pension yake taratibu akisubiri siku zake.
 
Warioba anataki haki na matakwa ya wananchi yatimizwe.Znz kuwa nchi ya kiislamu shida ni ipi ilhali wakazi 99% ni waislamu?wapewe haki yao Znz, Uislamu kwa lukuvi muoneeni huruma ni mpungufu wa akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…