Nikajua wamjua?Ndo nani Huyo..?
Nishamjua..
Utanikumbusha🥱Tukutane uchiku..
Niko idle so nimeona bora nijipe shughuli ya kufatilia yanayojiri😀Hadi wewe mama la mama! Wa huba mbona wataka shida nawakati kura washaib... A😂
Wewe nisubiri soon utaniona hapoSasa ndo mpk mimi unanisahau..
Hakika mzee yaan uchaguzi unanifanya ni suffocate kwa kushindwa kuziona neema za mwenyezi munguMkuu hii hali yatisha toka juzi napita humu ni holaa tu! Mpk kichwa kimeanza niuma kwa kuwakosa hao viumbe!.. huo uchaguzi wao unatukosti wengi ktk namna tofautitofauti..
mimi hua nikikuimagine naona una umbo nene, hvi ni kweli!?..Tuko