Waraka wa TAMSYA kwa vyombo vya habari

Naona madai yenu ni ya msingi japo sijajua ni ya msing kias gan maana inaonekana kila tukio lilifanyiwa uchunguz na hava stahik zikachukuliwa.walichukua hatua hiz kwa kuwa uchunguz umefanyika wako sahih.nashangaa vijana wa kiislam kila siku kulalamika juu ya hatua wanazochukuliwa kila waendapo kinyume.mbona vijana pia wa kikristo au iman zingine wanafukuzwa shule,vyuo au kusimamishwa masomo pindi waendapo kinyume na madai yao hayaandikwi kwenye vyombo vya habar?why muslims tuu?nadhan kila mtu akihitaj matakwa yake binafs yatekelezwe nchi haitatawalika.kwa nin kipind cha awamu ya tatu ya urais mambo haya hayakuwepo?au kwa kuwa rais aliyeko madarakan ni mwislamu?achen udin shenz zenu.kila siku tunaomba kuwa wamoja halafu ninyi mnaturudisha kwenye udin huku mmevaa vaz la kondoo mkidai hak kumbe ni wadini kama nin.andamanen had 2015 mkiona hak haijatendeka maana mnasema mtaendelea kuchukua hatua zaid.niny hamna tofaut na bokoharam,al-shabab au warabu wanaopenda kujitoa muhanga.tumewazoe kusikia mnajitoa mhanga fanyen hvyo ikibid .uwiano pia ktk masomo hautakaa utokee mpaka mwisho wa dunia maana waislam ni wachache waliosoma na wengine wanaoendeleo kusoma elimu haiwasaidii zaid ya kulalamika tuu.kuwen wastaarabu kama watu wa din zingne walivyo ambao niny huwaita makafir kumbe niny ndio makafir na wazandik wakubwa.
 
Nashauri Kanisa Katoliki lidai kurudishiwa shule zake zilizoporwa na Serikali-Ndanda. Umbwe, Weruweru girls, Pugu, Tabora boys and girls, na nyinginezo. Ndio dawa tu ya kurudisha heshima. BAKWATA wakajenge za kwao.
 
Naipenda dini ya kiislamu,lakini nawachukia waislamu,wengi ni makanjanja hawajui misingi ya dini yao,kazi yao ni kuchanganya dini na siasa,na ndio maana wanapata tabu sana na mfumo huu wa serikali,cha ajabu raisi ni muislamu,mawaziri wengi ni waislamu,wakuu wa vitengo vingi vya serikali wanaochaguliwa na raisi ni waislamu.Mna taka nini ninyi watu?
 
Nashauri Kanisa Katoliki lidai kurudishiwa shule zake zilizoporwa na Serikali-Ndanda. Umbwe, Weruweru girls, Pugu, Tabora boys and girls, na nyinginezo. Ndio dawa tu ya kurudisha heshima. BAKWATA wakajenge za kwao.
Kumbe Hayati Nyerere alifanya kosa kubwa kutaifisha shule za wakristo............
 
@ Barubaru. Mkuu na mimi nilipita JKT Ruvu,hakuna Kuruta alikuwa anaruhusiwa kwenda kusali ama kuswali mpaka tulipo pass out ndipo tukapata angalau muda wa kusali/kuswali lkn kama hauna majukumu muhimu kwa mfano hauko ulinzi ama kazi yoyote muhimu.
 

Dah, post yako nzuri(to some extent) kwani imejaa 'soft messege' inayoonyesha kuwa kuna mambo(ya kiislam) huyafahamu lakini hukusudii kuyakaidi kwa chuki bala ueleweshwe! Nadhan wachangiaji wengi wangelikuwa capability kama hii,walau ingesaidia ku-address kile kinacholalamikiwa. Oh, sory naona fajr imeingiya wacha niiwahi,then nitumikie 'chajio' then, jion-Inshllh tutaendelea kujuzana kwa kadri tutakavyowezeshwa!
 
Lakin swala za ijumaa na ijumaa pili zinakuwa kama kawaida.

Nakumbuka Ruvu tulivyokuwa tunaswali kule vibwende au kwa babu. na siku ya ijumaa Mlandizi town.

we ndo maana uliamua kurudi kwenu uarabuni!!mkoa wa pwani hakuna kitu kama hicho kwenye red..
 
Nashauri Kanisa Katoliki lidai kurudishiwa shule zake zilizoporwa na Serikali-Ndanda. Umbwe, Weruweru girls, Pugu, Tabora boys and girls, na nyinginezo. Ndio dawa tu ya kurudisha heshima. BAKWATA wakajenge za kwao.


Vipi na zile BILIONI 91 wanazokwapua kila mwaka kutoka Serikali ya Muungano kupitia MoU zitakuwaje?, je watazirejesha tokea MoU iliposainiwa 1992?
 


Nafikiri ndugu yangu kuna mambo mawili unayachanganya hapo.
Mosi, Muda wa kuswali
Pili, vipindi vya dini.

Kumbuka hivi vyote viwili ni muhimu kwa kila mwanafunzi kuweza kuhudhuria. Haiwezekani kabisa muda wa swala ukawa ni muda wa kipindi cha dini. Kwani swala ni kitu kingine na Kipindi cha dini ni kitu kingine. Lazima ratiba zenu zitenganishe hayo na kutoa fursa kwa wote kuhudhuria vipindi vyote vya swala na vipindi vya dini.
 

Naomba uniulizie kama pale Al-Haramain kuna kanisa.
Tafadhali usiulize kwa nini wanawalazimisha watahiniwa tena binafsi (private candidates) wa kike kuvaa hijabu/baibui ili kuruhusiwa kuingia shuleni. Ukiuliza we utakuwa umeathiriwa na mfumo kristo.
Bado sijawasikia Freemasonry tu, hii serikali mbona itakoma na matamko. Kah!!
 
Haya yote yanasababishwa na joka kuu linaloendekeza udini JK

Haya yalipandwa na JKN na wengine wamekuwa wanapalilia tu. Wakristo hususan Wakatoliki walizoea kudekezwa na kujiona ni first citizen kulinganisha na wengine. Na ndio maana wao wapo nje ya makanisa mengine ya kikristo na wanajipambanua kipekee zaidi. Ukitaka kulona hilo angalieni anapoapishwa rais wenu wa Muungano, utaona kuna mwakilishi wa makanisa ya kikristo, mwakilishi wa wakatoliki na wawakilishi wa waislam na mwakilishi wa wahindu.

Sasa ukweli unasimama, kila mtu anadai haki yake.

 
kweli ndugu zetu wanapotosha umma kwa kusema eti lyamungo kuna kanisa, si kweli mimi nimesoma umbwe jilani zetu lyamungo najua ile shule.umbwe ni kweli kuna kanisa tena zuri sana wakoloni waliumiza kichwa kulijenga:embarassed2::embarassed2:
 

Ni ujinga wa namna hii ndio unaowafanya mnakuwa nyuma kitaaluma halafu mnasema mnasahihishiwa vibaya mitihani yenu. Mara zote, kwenye shule zote kumekuwa na tatizo la walimu kushindwa kumaliza syllabus achilia mbali kufanya revision ambayo pia ni muhimu. Sasa wewe mwenye akili sana, unashauri kuwe na muda wa msikitini na bado upatikane muda mwingine wa vipindi vya dini! Kwa mtindo huu hiyo syllabus inakwisha au shwari tu hata ikiishia katikati kama Masjid Kuba na Al Haramain?

Hebu kuweni na akili za kimaendeleo, academic discipline ni very serious issue na inadetermine matokeo ya mwanafunzi darasani. Hivi mmeshawahi kujiuliza kama ingekuwaje endapo kila mtu angekuwa na mawazo kama yenu?

Wakati wenye kupenda shule wapo tuition, nyie mpo madrassa au kwenye mihadhara lkn siku ya kusahihisha mitihani, inamlazimu msahihishaji abalansishe matokeo ili waislamu wafurahi, au? Safari yenu ndefu sana.

Unajua kisa cha viwanda vya waarabu kuendeshwa na wazungu? = akili kama hizi zako. Ndio maana BP anaongoza kwa uzalishaji wa mafuta, japo si yake ni ya Saudia.
 
kweli ndugu zetu wanapotosha umma kwa kusema eti lyamungo kuna kanisa, si kweli mimi nimesoma umbwe jilani zetu lyamungo najua ile shule.umbwe ni kweli kuna kanisa tena zuri sana wakoloni waliumiza kichwa kulijenga:embarassed2::embarassed2:

Tunapowalaumu hawa watu, tuzingatie pia ni nani aliwaletea hii dini yao. Wale waarabu, pamoja na utajiri wooote ule wa mafuta, ni BP ndio anaongoza uchumi wao. Shida ni akili za namna hii. Wakijengewa msikiti tu, hawana shida nyingine. Angalia Dubai inavyojengeka baada ya waarabu wa huko kugundua umuhimu wa shule. Wazungu wooote wanaelekea UAE.

Huyu barubaru yeye hajifunzi kitu huko oman, kazi zake ni kuosha vyombo huku akituma tusent kwa wapemba wenzake wafanyie mihadhara badala ya kuwalipia ada wakasome.
 
Nina wasiwasi na uwezo wako wakuchambua mambo kisomi, umekuwa unajinasibu kama msomi wa PhD, lakini huonyeshi kabisa uwezo wa mwenye elimu hiyo katika kuchambua mambo. Hao vijana unaowashabikia ni waleta fujo na vurugu mashuleni kwa kisingizio cha uisilam. Wanafunzi waislamu wa Ndanda waliofukuzwa kwa kuhatarisha amani shuleni hapo walipewa nafasi kisheria kukata rufaa dhidi ya hukumu waliyopewa, wao badala yake wanashindwa kufanya hivyo nakukimbilia kwenye vyombo vya habari. Barubaru, uislamu sio kufanya fujo na kuchochea chuki dhidi ya watu wengine kama unavyofanya wewe na shetani mwenzako Mohamedi said. Mungu wenu hawezi kuwa dhaifu kiasi cha kusubiri utetezi wenu dhaifu usio na maana. Amani ni tunu adimu lakini ninyi kwa ubinafsi wenu mnataka kuiharibu washenzi wakubwa!
 
Ilboru kuna Kanisa. Na waisilam wamepewa darasa wanalituia kama msikiti.

historia ya Ilboru inajulikana wazi kuwa ile ilikua shule ya dini kabla ya kutaifishwa, ndo maana kuna kanisa na wala kanisa hilo haliko ktk eneo la shule, lipo just baada ya duka la shule then barabara ninapajua sana ilboru nahata hivyo wakuu ukisema wakristu unamaanisha nini?, mie ni mkatoliki wenye kanisa ni walokole, na waislamu wamepewa sehemu ya kuabudu sawa na wakatoliki wanaotumia semina room.

huyo mama mkwizu inatakiwa mumjue ni mtu mwenye silika gani (jinsi anavyokabiliana na changamoto zake) kikawaida kabla ya kumchukulia kuwa ni mdini.

nionavyo mimi wa2 waruhusiwe kuabudu mashuleni kwa muda maalumu e.g nusu saa au saa kwa kupewa maeneo ya kuabudu eg madarasa jioni kabla ya kuanza prepo ila wasiwe kikwazo kwa maendeleo ya kitaaluma ya wasio amini.

When we blindly adopt a religion, a political system, a literary dogma, we become automatons. We cease to grow
 


Wewe ndie ulie mbaguzi.

Kama mtu anataka kumaliza sylabus basi asiwe na mapumziko. Kwanini watu wanapumzika siku za ijumaa pili na ijumaa mosi. Kwanini wasitumie muda huo.

Kumbuka kuwa unapoweka siku ya kipindi cha dini ni siku ya ijumaa wakti waislam wanakwenda kuswali wengine wanasoma dini hiyo ni dhulma. Kwani wakristo watapata muda wa ijumaa pili kwenda kusali wakti ni siku ya mapumziko na waislam watakosa kipindi cha dini.

Kumbuka kuwa Katiba yenu imejipambanua wazi kwa kuweka kipengele cha uhuru wa kuabudu. Na kumbuka kuwa katika mifumo yenu ya elimu kuna mitihani ya bible knowledge na Islamic knowledge na inatolewa na NECTA.

Ni vizuri muwape wote nafasi za kusoma na kusomeshwa masomo hayo bila kuathiri ibada za wanafunzi.
 
Kama kila kitu anachofanya muislamu wakati wowote, yaani saa 24 za siku ni ibada basi kuna tatizo kubwa katika kuitafsiri dini hii!

Tatizo kwako ni kutokujuwa maana ya neno ibada. Kumbuka hilo ni neno lilitokana na neno la Kiarabu kwa hiyo sikushangai kama huijui maana yake.

Ibada ni 24/7 kama humuabudu aliyekuumba kwa kufata mema na kuyaacha mabaya basi unaabudu shetani wakati unapofanya mabaya na kuwacha mema ya Muumba wako.

Neno ibada linatokana na neno "abd" (servant) sasa kama wewe sio "abd" wa aliyekuumba kwa kufata anavyotaka yeye (kumuabudu), basi wewe ni "abd" wa shetani anaekutaka ufanye kinyume na aliyekuumba.

Hata kwa kukuelezea huku nna mashaka kama umeipata maana halisi ya ibada.

NB> hata hiyo "servant" ni kwa ukaribu tu wa maana lakini si maana halisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…