Ohanes
Member
- Apr 29, 2013
- 42
- 4
Sisi wanaccm tumeusoma waraka huu na kubaini kuwa viongozi wa chama chetu wamekosa uzalendo kwa taifa hili, na wanatapatapa la kuingilia bunge maalum la katiba maana hata waraka huu feki baado unakubali serikali tatu kihalisia, sasa kwa nini wamungunye maneno kwa kusema ccm inataka serikali mbili??
Wanajamvi ebu someni kilichoandikwa kwenye waraka huu alafu tuchangie kwa hoja, hii ni kwa maslai ya taifa letu.
Muundo wa Bunge
Kuhusu Bunge, waraka huo unapendekeza kuwe na Baraza la Wawakilishi la Tanzania Bara kwa ajili ya kushughulikia masuala ya Bara tu.
Swali: Kama wanapendekeza baraza jipya la mawaziri wa bara/Tanganyika je hii si Serikali kamili???
Pili, rasimu inapendekeza pia kuwe na Baraza la Wawakilishi la Zanzibar.
Swali la pili: Je hili nalo si ni baraza la nchi huru???
Wanajamvi ebu someni kilichoandikwa kwenye waraka huu alafu tuchangie kwa hoja, hii ni kwa maslai ya taifa letu.
Muundo wa Bunge
Kuhusu Bunge, waraka huo unapendekeza kuwe na Baraza la Wawakilishi la Tanzania Bara kwa ajili ya kushughulikia masuala ya Bara tu.
Swali: Kama wanapendekeza baraza jipya la mawaziri wa bara/Tanganyika je hii si Serikali kamili???
Pili, rasimu inapendekeza pia kuwe na Baraza la Wawakilishi la Zanzibar.
Swali la pili: Je hili nalo si ni baraza la nchi huru???