Kunawalaka ulioandikwa na john bocco kuhusu soka la bongo Mimi nimepata kuhusikia juu juu tu sasa nnashida ya kuusoma mwenye nao autupie humu
Kunawalaka ulioandikwa na john bocco kuhusu soka la bongo Mimi nimepata kuhusikia juu juu tu sasa nnashida ya kuusoma mwenye nao autupie humu
Kunawalaka ulioandikwa na john bocco kuhusu soka la bongo Mimi nimepata kuhusikia juu juu tu sasa nnashida ya kuusoma mwenye nao autupie humu
wenye viwango wapo tatizo tff na makocha wao, wenye vipaji hawateuliwa mpaka ucheze dimba,yanga au azam kwa nini?
Leo mchezaji yupo huko Mbeya city aitwi timu ya taifa, lakini kesho tu akichahuliwa Adam au simba asubuhi anaitwa kwanini ? au kocha Nazi take ni kuangalia yanga na simba tu ?
hivi kweli tukimpa mzawa mamlaka ya kuteua timu nyingine atashindwa kweli kuteua timu bora ?
kama Jamal Malinzi anaeeza kutumia 360M kwa kutafuta vipaji feki anashindwa mini kutengeneza timu nyingine ya taifa yenye kocha mzawa? then tuone kama kweli hakuna vipaji nje ya hawa we simba na yanga ?
Nakubaliana na kila point yako Mkuu. Hayo yote uliyoandika ni moja wapo ya factors zinazosababisha Ugonjwa. Ila haiondoi ukweli wa kilichoandikwa na Boko (Iwapo tumemsoma katika mistari).
Tatizo langu ni kwa nini tumshutumu Boko kwa uthubutu wake na kutumia haki yake kikatibu kwa kueleza mawazo yake na kile anachokiona.