Waraka wa ajira umetoka?

daa sina iman maana kwa sasa uchumi umetikisika kwa kiasi kikubwa alafu kwa sasa serkl imejikita kwenye mitihan ya darasa la saba, form two, form four so nazani wenda mchakato huo ukaanza baada ya hili gurudumu ila tusubiri maajabu ya Musa yaweza tokea wenda Mungu kasikia kilio chetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…