Waraka no. 1 wa mwaka 2012 wa Mbunge kwa Wananchi- “Ukweli ni Uhuru”- Mnyika

safi sana mkuu JJM kama Job NDUGAI angekuruhu kufafanua usingefika kote huku lakini ngoja uwakatie issue MAgamba.
 


Huna namba ya Mnyika umfikishie ujumbe? Kwangu mimi ujumbe wa Mnyika ulishawafikia mnatafuta pa kutokea. Kubali yaishe hapa hamtoki sawa na kumpiga teke chura unamuongezea mwendo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…