Waraka kwa Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Profesa Ibrahim Juma

Mystery

JF-Expert Member
Mar 8, 2012
15,484
30,159
Inanibidi niandike waraka huu kwako binafsi kutokana na uonevu unaoendelea nchini, wakati wewe ndiye Mkuu wa Mhimili wa Mahakama, Mhimili ambao sisi wanyonge tunautegemea kwa kutenda haki

Ninaongelea kesi inayomkabili Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi (Sugu) na mwenzake Masonga.

Watuhumiwa hao wawili wametoa maombi yao kwa Hakimu anayesikiliza kesi yao Hakimu Mteite ya kumwomba asiendelee kuisikiliza kesi hiyo.

Wametoa sababu 3 ambazo wanaamini zingezingatiwa basi Hakimu huyo asingeweza tena kuendelea na kesi hiyo.

Sababu zenyewe ni kama zifuatazo:-

1.Ingawa tuhuma yao inadhaminika kisheria, lakini Hakimu huyo ameamua kupindisha sheria na kusema wao waendelee kusota ndani. kwa madai kuwa eti usalama wa Watuhumiwa hao utakuwa shakani!

Je yeye Hakimu amejuaje kuwa kuna watu wanaopanga kumdhuru Sugu kama siye yeye na wenzake??

2.Ni haki ya Watuhumiwa kuiambia Mahakama kuwa hawana Imani na Hakimu iwapo wataona dalili za kuwa Hakimu huyo haelekei kuwatendea haki
watuhumiwa na maombi hayo kikawaida huwa yanazingatiwa
.

Lakini cha ajabu katika kesi hii ya akina Sugu, Hakimu ameng'ang'ania kuwa ataisikiliza hadi mwisho!

3.Watuhumiwa walimsikia wenyewe Hakimu huyo akitamka kuwa kesi hii "inampa wakati mgumu" ambayo ni ushahidi tosha kuwa kuna shinikizo toka upande wa wanasiasa kutaka hukumu iwe ya aina fulani wanayoitaka wao.

Tunakumbuka kuwa Jaji Mkuu ulitoa onyo Kali kwa wanasiasa kuwa kuanzia sasa Mahakama yako mtakuwa wakali sana kwa yeyote anayetaka kuingilia Mahakama katika utendaji wake wa kazi za kila siku.

Naamini utayazingatia niliyoyaongea katika waraka huu.

Ni Mimi mwananchi wa kawaida
 
Nimeupeleka kwake Jaji Mkuu huo waraka wangu kwa kuwa tulimsikia wenyewe akiwaambia wanasiasa waache Mhimili wa Mahakama utende kazi yake kwa Uhuru bila kuingiliwa na wanasiasa

Aliongelea the same case kwamba itakapoamuliwa walihukumiwa wasilalamike bahati mbaya Hakimu kwa msongo wa mawazo akaropoka.
 
Inanibidi niandike waraka huu kwako binafsi kutokana na uonevu unaoendelea nchini, wakati wewe ndiye Mkuu wa Mhimili wa Mahakama.

Ninaongelea kesi inayomkabili Mbunge wa Mbeya mjini, Sugu na mwenzake Masonga.

Watuhumiwa hao wawili wametoa maombi yao kwa Hakimu anayesikiliza kesi yao Hakimu Mteite ya kumwomba asiendelee kuisikiliza kesi hiyo.

Wametoa sababu 3 ambazo wanaamini zingezingatiwa basi Hakimu huyo asingeweza tena kuendelea na kesi hiyo.

Sababu zenyewe ni kama zifuatazo:-

1.Ingawa tuhuma yao inadhaminika kisheria, lakini Hakimu huyo ameamua kupindisha sheria na kusema wao waendelee kusota ndani. kwa madai kuwa eti usalama wa Watuhumiwa utakuwa shakani!

Je yeye Hakimu amejuaje kuwa kuna watu wanaopanga kumdhuru Sugu kama siye yeye na wenzake??

2.Ni haki ya Watuhumiwa kuiambia Mahakama kuwa hawana Imani na Hakimu iwapo wataona dalili za kuwa Hakimu huyo haekekei kuwatendea haki

3.Watuhumiwa walimsikia wenyewe Hakimu huyo akitamka kuwa kesi hii "inampa wakati mgumu" ambayo ni ushahidi tosha kuwa kuna shinikizo toka upande wa wanasiasa kutaka hukumu iwe ya aina fulani wanayoitaka wao.

Tunakumbuka kuwa Jaji Mkuu ulitoa onyo Kali kwa wanasiasa kuwa kuanzia sasa Mahakama yako mtakuwa wakali sana kwa yeyote anayetaka kuingilia Mahakama katika utendaji wake wa kazi za kila siku.

Naamini utayazingatia niliyoyaongea katika waraka huu.

Ni Mimi mwananchi wa kawaida
Mungu wa mbinguni, wewe ni mungu mwema, tena mwenye huruma ya kweli, litazame taifa lako tanzania, watazame viongozi wake, ninakuomba mungu uwajalie hofu ya kukuogopa wewe, ili wajiepushe na roho za kisasi, waliongoze taifa letu kwa kukutanguliza wewe Mungu, pia watizame wote wanaoonewa kwa kubikiziwa makesi na utawala huu, wajalie roho ya uvumilivu wakiamini kuwa wewe mungu ndiye utawashindia, kama ulivyo washindia mitume na manabii kwenye tanuru la moto na kwenye mdomo wa simba. Nakuomba na kukushukuru katika jina la yesu na Mwokozi wetu AMINA
 
Nilipomsikia naye akikataa wachunguzi huru kwa tukio LA Tundu Lisu nilikata tamaa kabisa kwa jaji kutumika na watawala
Najua tuna safari ndefu Mkuu Bababiko wa kuitafuta haki nchi hii........

Lakini ni wajibu wetu sisi wananchi kumwambia
yeye akiwa Mkuu wa Mhimili unaotegemewa kutoa haki kwa wananchi wake.
 
Wananchi wenzangu, watanzania
wote,

tujifunze kuheshimu mahakama

zetu, tukifanya hivyo tutawasaidia

mahakimu na majaji kufanya Kazi

zao kwa uhuru na haki.

Tabia ya kumkataa hakimu pale unapoona upande wako mambo hayakwendei vizuri sio tabia nzuri ikiachiliwa iendelee kwani itavuruga utendaji wa haki,
na itajenga tabia ya watuhumiwa kuchagua kesi yake isikilizwe na hakimu anaye mtaka yeye hii sio sahihi, mwisho wa siku tutasikia mfungwa amekataa kuingia segerea anataka keko !!

Kwa kipindi kirefu tumekuwa tukiishi ktk tabia za kupiga majungu na fitina na tumekuwa tukifanikiwa lkn sio ktk kipindi hiki, fitna na majungu havina nafasi.

Tunawaomba sana viongozi wa Mahakama wasikubali kusikiliza majungu na fitina dhidi ya mahakimu wetu, wapimwe kwa utendaji wao sio kwa kusikiliza majungu. kwani kuna mahakimu wengi wazuri wameumizwa kwa majungu na fitina.

mawakili wanayo haki ya kukata rufaa mahakama kuu kama hawakuridhika na maamuzi ya hakimu na sio kuweka shinikizo !! hii sio sahihi, tujifunze kuheshimu maamuzi ya hakimu.

mwacheni hakimu afanye Kazi yake, msimwingilie.
 
Wananchi wenzangu, watanzania
wote,

tujifunze kuheshimu mahakama

zetu, tukifanya hivyo tutawasaidia

mahakimu na majaji kufanya Kazi

zao kwa uhuru na haki.

Tabia ya kumkataa hakimu pale unapoona upande wako mambo hayakwendei vizuri sio tabia nzuri ikiachiliwa iendelee kwani itavuruga utendaji wa haki,
na itajenga tabia ya watuhumiwa kuchagua kesi yake isikilizwe na hakimu anaye mtaka yeye hii sio sahihi, mwisho wa siku tutasikia mfungwa amekataa kuingia segerea anataka keko !!

Kwa kipindi kirefu tumekuwa tukiishi ktk tabia za kupiga majungu na fitina na tumekuwa tukifanikiwa lkn sio ktk kipindi hiki, fitna na majungu havina nafasi.

Tunawaomba sana viongozi wa Mahakama wasikubali kusikiliza majungu na fitina dhidi ya mahakimu wetu, wapimwe kwa utendaji wao sio kwa kusikiliza majungu. kwani kuna mahakimu wengi wazuri wameumizwa kwa majungu na fitina.

mawakili wanayo haki ya kukata rufaa mahakama kuu kama hawakuridhika na maamuzi ya hakimu na sio kuweka shinikizo !! hii sio sahihi, tujifunze kuheshimu maamuzi ya hakimu.

mwacheni hakimu afanye Kazi yake, msimwingilie.
Tunachoongelea ni Hakimu kusema dhamana ipo wazi.....

Lakini wakili wa serikali anasema Watuhumiwa hawapaswi kupata dhamana kwa sababu za usalama wao....

Mara Hakimu anaahirisha kwa muda kesi hiyo, anarudi kutoka huko anasema anakubaliana na hoja ya wakili wa serikali kuwa dhamana imefungwa!

Hapo ndipo tunapotilia shaka uamuzi huo wa Hakimu kuwa "anashinikizwa" na watawala katika maamuzi yake
 
Nilipomsikia naye akikataa wachunguzi huru kwa tukio LA Tundu Lisu nilikata tamaa kabisa kwa jaji kutumika na watawala
Ni kweli hata Mimi alinikatisha tamaa aliposema hatuna haja ya wachunguzi toka nje!

Wakati huu ni mwezi wa 5 hakuna hata mtu mmoja aliyekamatwa kwa tukio hilo

Zaidi sana ndiyo kwanza tunaona hata CCTV camera za lile eneo zikinyofolewa!
 
Ni kweli hata Mimi alinikatisha tamaa aliposema hatuna haja ya wachunguzi toka nje!

Wakati huu ni mwezi wa 5 hakuna hata mtu mmoja aliyekamatwa kwa tukio hilo

Zaidi sana ndiyo kwanza tunaona hata CCTV camera za lile eneo zikinyofolewa!
Yalikuwa ni Maagizo Toka ngazi za juu aseme vile!
 
Inanibidi niandike waraka huu kwako binafsi kutokana na uonevu unaoendelea nchini, wakati wewe ndiye Mkuu wa Mhimili wa Mahakama, Mhimili ambao sisi wanyonge tunautegemea kwa kutenda haki

Ninaongelea kesi inayomkabili Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi (Sugu) na mwenzake Masonga.

Watuhumiwa hao wawili wametoa maombi yao kwa Hakimu anayesikiliza kesi yao Hakimu Mteite ya kumwomba asiendelee kuisikiliza kesi hiyo.

Wametoa sababu 3 ambazo wanaamini zingezingatiwa basi Hakimu huyo asingeweza tena kuendelea na kesi hiyo.

Sababu zenyewe ni kama zifuatazo:-

1.Ingawa tuhuma yao inadhaminika kisheria, lakini Hakimu huyo ameamua kupindisha sheria na kusema wao waendelee kusota ndani. kwa madai kuwa eti usalama wa Watuhumiwa hao utakuwa shakani!

Je yeye Hakimu amejuaje kuwa kuna watu wanaopanga kumdhuru Sugu kama siye yeye na wenzake??

2.Ni haki ya Watuhumiwa kuiambia Mahakama kuwa hawana Imani na Hakimu iwapo wataona dalili za kuwa Hakimu huyo haelekei kuwatendea haki
watuhumiwa na maombi hayo kikawaida huwa yanazingatiwa
.

Lakini cha ajabu katika kesi hii ya akina Sugu, Hakimu ameng'ang'ania kuwa ataisikiliza hadi mwisho!

3.Watuhumiwa walimsikia wenyewe Hakimu huyo akitamka kuwa kesi hii "inampa wakati mgumu" ambayo ni ushahidi tosha kuwa kuna shinikizo toka upande wa wanasiasa kutaka hukumu iwe ya aina fulani wanayoitaka wao.

Tunakumbuka kuwa Jaji Mkuu ulitoa onyo Kali kwa wanasiasa kuwa kuanzia sasa Mahakama yako mtakuwa wakali sana kwa yeyote anayetaka kuingilia Mahakama katika utendaji wake wa kazi za kila siku.

Naamini utayazingatia niliyoyaongea katika waraka huu.

Ni Mimi mwananchi wa kawaida
Naona upuuzi katika andiko hili.Hakimu akisema anapata wakati mgumu katika hiyo kesi moja kwa moja tafsiri yake ni shinikizo toka juu ?
 
Back
Top Bottom