MathewMssw
Member
- Mar 27, 2009
- 92
- 0
Mungu akutanguliye katika kila ufanyalo katika bwana
Sina maneno mengi zaidi ya kukutakia kila la kheri, we will surely miss you
God Bless You
Dr. Slaa alifukua mizizi ya Ufisadi Bungeni, Sasa tumpe Jembe akaing'oe
Nawashukuru wote.Asanteni sana kwa ukarimu wenu..
Uwe unatupitia basi angalau ukipata nafasi bana, kazi na dawa. Best wishes huko 'duniani'
Uwe unatupitia basi angalau ukipata nafasi bana, kazi na dawa. Best wishes huko 'duniani'
Is there any man who doubts women's equality?????!!!!!!!!!!!!!!!!! I dont think so.
Is there any man who doubts women's equality?????!!!!!!!!!!!!!!!!! I dont think so.
Nitakapokuwa jimboni siku chache kuanzia sasa itakuwa ngumu kupita jukwaa hili.Ila kulee nitapita pita kidogo kuchungulia...
Jamani na wewe si unatumia Laptop ile mida ya usiku 30 min to 1 hour inatosha sana kutucheki ..Tutakumiss ,utatumiss pia ..kikubwa mama Kaza buti...kwani wao waweze wana nn hata sisi tushindwe tuna nini..natamani ningekuwa hapo nikavaa jezi kukusaidia .
gud lucky
Tatizo ni muda FL1.Kupitia Jukwaa hili katika kipindi cha kampeni ni kupoteza muda.Nitakuwa napita kidogo kwenye jukwaa la uchguzi na siasa kupata vitu vitakavyosaidia mchakato mzima wa kampeni..