Wapo watumishi wengine ambao bado ni majipu

Wapo watumishi wengine ambao bado ni majipu

StephenChafu

Member
Joined
Apr 25, 2016
Posts
7
Reaction score
2
Inaogopesha kuona hadi hii leo pamoja na utumbuaji uliopo bado kuna watumishi ambao hawawajli wateja/wananchi/raia kabisa, watu wanachati Facebook hawamtazami mtu aliye dirishani akisubiri huduma! this is unfair! Nakwazika sana binafsi.
 
Wengine mikono myepesi mkuu kwa vyovyote vile atakujibu mbovu afu kujizuia inashindikana
 
Ni budi majipu haya yakatumbuliwa hata kabla ya kukomaa....

Tunaposubiri yakomae mda unazidi kwenda matokeo yake tunachelewa kufikia targets kwa wakati.
 
Back
Top Bottom