chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,132
- 22,554
soma vizuri, binti amefariki kutokana na maandamano haramu, wish Risasi ile ingemramba mmoja wa viongozi wenu.
tunamsubiri muda wake amalize tumpandishe kilingeni, najua kwa sasa hawataweza, akimaliza watu wanae, na hapo sidhani kama waliomtangulia au atakayekuja atamuwekea kingaWalichopanda cdm ni mbegu madhubuti isiyodhaifu baada ya kuidharau mbegu dhaifu, sasa cdm wanavuna walichopanda, raisi madhubuti!!!
Kala janga lililochumwa na wakwao,vita haina macho.Marehemu Aquiline amevuna alichopanda??
Hatutegemei tofauti,African leaders are the same.N.a. siku ccm wakianza kuvuna usije kulalamika.
Mkuki kwa nguruwe!
Wewe umeifanyia nini?Watoto wako wamefanyiwa nini chini ya serikali iliyopo?
soma vizuri, binti amefariki kutokana na maandamano haramu, wish Risasi ile ingemramba mmoja wa viongozi wenu.
Haramu ni haramu tu..............Maandamano 'Haramu' huwa yana tawanywa kwa Risasi za Moto ?
Karma ita kutafuna ,ipo Siku ata dunguliwa Ndugu yako ili uya kumbuke haya maneno yako hapa
Alieanzisha hayo maaandamano haramu ndio anao wajibu wa kukaa chini na kujitafakari sana, tena narudia hyo risasi ilipaswa kumuingia yeye.Mbona siasa zinakuvua utu kijana??? Hao viongozi ni baba/mama wa MTU ni mke/mume wa MTU ni ndugu wa MTU ni jirani wa MTU ni tegemeo la mtu ni watoto. Siasa isikufanye ukakosa utu. Kwasababu wamechagua upinzani ndo wasiwe na haki ya kuishi?????
Ebu kaa ujitafakari siasa zinakupoteza unakuwa kama shetani(maana shetani ndo hana utu)
Wapinzani wa leo ni watawala wa kesho. Na wao wakija wafanyia watoto wako au wajukuu zako unayotaka wafanyiwe sasa. Haitakufraisha.
Tulia ujitafakari.
Hakika wewe damu yako ni kijani kibichi kabisaa, na hili limekufanya usijue chochote nje ya box.Assalam aleykhum wana JF,nimekaa na kutafakari nimetamani kunyamaza lakini nimeshindwa kujizuia kwa yale yanayotokea na kuendelea kwa jamii yangu pendwa ya Tanzania , nikiwa mtanzania halisi nilielelewa katika maandili ya kitanzania na kuitanguliza nchi yangu mbele kama mtanzania halisi mwenye dhamira safi ya kuilinda nchi yangu mpaka mauti yanikute
Nawapa pole sana familia ya Akwiline kwa msiba Mkubwa uliwakuta kwa kuondokea na binti yao mpendwa kwa Akwiline kufuatia kifo chake kilichosababishwa na maandamano haramu ya chama kimojawapo cha Siasa kinachojinasibu kuwa ni chama cha harakati na chenye kuleta ukombozi nchini Tanzania, nawalaani kwa Nguvu zote walioleta haya maandamano, na ninawaalani tena nikiomba hatima yao iwe ni mwaka 2020, wakati wa uchaguzi.
Narejea kwenye ujumbe wangu mahsusi, wapinzani mlichokipanda ndicho mnachokivuna, wakati wa MHE Rais wetu mpendwa Jakaya Mrisho kikwete, mlimbeza , mkamtukana, ilifikia wakati hata Mhe John John Mnyika akatamka kuwa hajawahi kuona Rais dhaifu kama yeye, je mnajua madhila mliokuwa mnayasababisha kwake yeye na familia yake?
, hewala aliwavumilia hata ilifikia wakati aliwaita ikulu mkanywa , juice, pamoja na vitafunwa, achilia mbali pocket money mlizokuwa mnapewa baada ya kikao na Mhe Rais.
Mlipokuwa mnatukana, mnakebehi, mnaandamana hovyo, kuna watu walikuwa nje ya game wanwacheki tu wanasema wallah siku nikikamata hili rungu hawa jamaa watanitambua, rungu limepata mwenyewe leo mnanyooshwa mnalialia, ******* ndani mnalialia, kumbukeni mbinu mlizotumia wakati ule ni hizi hizi mnazozitumia leo msitegemee kuitwa ikulu, mnywe juice,chai na baadae mpewe pocket money.
Ushauri wangu, hii nchi ni yetu sisi sote, kaeni chini mjiulize mmekosea wapi na mnapaswa kujirekebisha vip, social networks zilileta athari kwa nchi mbalimbali msitegemee kuwa hiyo mbinu mnayotumia italeta athari mnazozitegemea kama zilizotokea katika nchi hizo, tafuteni ushauri nje kabisa ya chama chenu, na isiwe kwa wale wafadhili wenu wanaowapeni pesa ili kuleta tafrani na kuzua commotion bila sababu za msingi, mtaendelea kupoteza na mtateketea kabisa.
APANDACHO MTU NDICHO AVUNACHO, MAPIGO MNAYOPATA NI MBEGU MBOVU MLIOIPANDA.
Haramu ni haramu tu..............
Haramu ni haramu tu..............
You have a poor brain ndio maana umeandika huu uharo hapa dammit!
Once again nonsense if not crap n your high stupidity level Next......
Wapinzani wanavuna walichopanda walipanda nini?
Tukutane 04/26/2018
Omuchimati, hujanikera nakuunga mkono, cdm hawajielewi walosema jana wakikumbushwa wanajitia pambani yaani wanajifanya kusahau: KIKWETE HAFAI DHAIFU lakini mkwere alicheka tu, kaja waliyemtaka DIKTETA, waliyemtaka sasa anawaonesha UKAKAMAVU, watulie waliyemtaka kaja!
Halafu Mbowe na Lema ndio wakabidhiwe nchi au Lowasa?????Na wewe mkuu unavuna nini!?
Vyuma vimekaza na girisi imeadimika lakini watz tunadhani ni wapinzani tu wanaoumia. Ukweli ni kwamba JK alikuwa kama alivyokuwa na awamu hii haimbadilishi bali inaongezea machungu. Ukweli unaouma ni kwamba ccm haiwezi kutoa kiongozi mzuri hadi pale tu itakapoenda likizo walau miaka 10.
Nchi inayoendeshwa na watawala ni lazima mtu kama wewe uwe na mashaka lakini nchi ikikabidhiwa kwa VIONGOZI maana yake itaendeshwa na wananchi wenyewe.Halafu Mbowe na Lema ndio wakabidhiwe nchi au Lowasa?????
Sawa mkuu nimekuelewa chadema ndio waliompiga risasi akwilinaAssalam aleykhum wana JF,
Nimekaa na kutafakari nimetamani kunyamaza lakini nimeshindwa kujizuia kwa yale yanayotokea na kuendelea kwa jamii yangu pendwa ya Tanzania , nikiwa mtanzania halisi nilielelewa katika maandili ya kitanzania na kuitanguliza nchi yangu mbele kama mtanzania halisi mwenye dhamira safi ya kuilinda nchi yangu mpaka mauti yanikute
Nawapa pole sana familia ya Akwilina kwa msiba mkubwa uliowakuta kwa kuondokea na binti yao mpendwa. Akwiline kufuatia kifo chake kilichosababishwa na maandamano haramu ya chama kimojawapo cha Siasa kinachojinasibu kuwa ni chama cha harakati na chenye kuleta ukombozi nchini Tanzania, nawalaani kwa Nguvu zote walioleta haya maandamano, na ninawaalani tena nikiomba hatima yao iwe ni mwaka 2020, wakati wa uchaguzi.
Narejea kwenye ujumbe wangu mahsusi, wapinzani mlichokipanda ndicho mnachokivuna, wakati wa MHE Rais wetu mpendwa Jakaya Mrisho kikwete, mlimbeza , mkamtukana, ilifikia wakati hata Mhe John John Mnyika akatamka kuwa hajawahi kuona Rais dhaifu kama yeye, je mnajua madhila mliokuwa mnayasababisha kwake yeye na familia yake?
Hewala aliwavumilia hata ilifikia wakati aliwaita ikulu mkanywa , juice, pamoja na vitafunwa, achilia mbali pocket money mlizokuwa mnapewa baada ya kikao na Mhe Rais.
Mlipokuwa mnatukana, mnakebehi, mnaandamana hovyo, kuna watu walikuwa nje ya game wanwacheki tu wanasema wallah siku nikikamata hili rungu hawa jamaa watanitambua, rungu limepata mwenyewe leo mnanyooshwa mnalialia, ******* ndani mnalialia, kumbukeni mbinu mlizotumia wakati ule ni hizi hizi mnazozitumia leo msitegemee kuitwa ikulu, mnywe juice,chai na baadae mpewe pocket money.
Ushauri wangu, hii nchi ni yetu sisi sote, kaeni chini mjiulize mmekosea wapi na mnapaswa kujirekebisha vip, social networks zilileta athari kwa nchi mbalimbali msitegemee kuwa hiyo mbinu mnayotumia italeta athari mnazozitegemea kama zilizotokea katika nchi hizo, tafuteni ushauri nje kabisa ya chama chenu, na isiwe kwa wale wafadhili wenu wanaowapeni pesa ili kuleta tafrani na kuzua commotion bila sababu za msingi, mtaendelea kupoteza na mtateketea kabisa.
APANDACHO MTU NDICHO AVUNACHO, MAPIGO MNAYOPATA NI MBEGU MBOVU MLIOIPANDA.