mastersajenti
Senior Member
- Dec 4, 2015
- 165
- 24
Hayawi hayawi hatimaye yamekuwa .Mile ambacho Wapinzani walikuwa wanakitaka Mh.Magufuli ameanza kukitekeleza.Toka upinzani umepamba moto umekuwa unaitaka Serikali ya CCM .
Kuacha kusamehe kodi kukumbatia mafisadi Na kila aina ya uchafu. Kutokana Na hali hiyo Mh. Magufuli akaamua kuanza mchakamchaka Wa kufuatilia maovu yote yakiwemwo ya ukwepaji Wa kodi uliokuwa unafanywa Na baadhi ya watendaji wakishirikiana Na viongozi ndani ya serikali Na chama cha CCM.
Hongera Wapinzani.
Kuacha kusamehe kodi kukumbatia mafisadi Na kila aina ya uchafu. Kutokana Na hali hiyo Mh. Magufuli akaamua kuanza mchakamchaka Wa kufuatilia maovu yote yakiwemwo ya ukwepaji Wa kodi uliokuwa unafanywa Na baadhi ya watendaji wakishirikiana Na viongozi ndani ya serikali Na chama cha CCM.
Hongera Wapinzani.