Wapingao uwepo wa MUNGU

wa4

Senior Member
Jul 2, 2016
158
65
KAMA MIMI NIISHIVYO MILELE NA MILELE, 1, najiuliza vitu , ni mwanadamu gani mwenye uwezo huo, wa kuishi milele na milele 2, ni mwanadamu gani mwenye kufikiria kitu kama hicho, 3, kunampatia faida gani kudanganya vile, kwa sababu hakuna mwanadamu anayeishi milele na milele, 4, ni nani huyo au kizazi chake bado kipo na kipi (familia yake) wapingao uwepo wa MUNGU pingeni kwa hoja si matusi
 
Umeandika utafikiri mwalimu wa UPE.
.....mada ngumu kama hizo wewe bado kinda mkuu....nenda madrasa na Sunday school kafundishe watoto huko ndio level yako.
 
Umeandika utafikiri mwalimu wa UPE.
.....mada ngumu kama hizo wewe bado kinda mkuu....nenda madrasa na Sunday school kafundishe watoto huko ndio level yako.
Sunday school mkuu, unanitisha
 
ni wewe unaeamini mungu yupo, ni wajibu kwa imani yako. wasio na imani wapo, tena wa kutosha, usiwalazimishe kubaliana na wewe. hakuna nafasi ya kufanxa utafiti kuthibitisha uwepo wa mungu, utaitwa mpinga imani. maandishi ya vitabu si uthibitisho, ni imani, walioandika ni watu na walikuwa na enzi yao.
 
ni wewe unaeamini mungu yupo, ni wajibu kwa imani yako. wasio na imani wapo, tena wa kutosha, usiwalazimishe kubaliana na wewe. hakuna nafasi ya kufanxa utafiti kuthibitisha uwepo wa mungu, utaitwa mpinga imani. maandishi ya vitabu si uthibitisho, ni imani, walioandika ni watu na walikuwa na enzi yao.
Kila goti litapigwa, wasioamini watampigia goti nani
 
KAMA MIMI NIISHIVYO MILELE NA MILELE, 1, najiuliza vitu , ni mwanadamu gani mwenye uwezo huo, wa kuishi milele na milele 2, ni mwanadamu gani mwenye kufikiria kitu kama hicho, 3, kunampatia faida gani kudanganya vile, kwa sababu hakuna mwanadamu anayeishi milele na milele, 4, ni nani huyo au kizazi chake bado kipo na kipi (familia yake) wapingao uwepo wa MUNGU pingeni kwa hoja si matusi
Bado sijaelewa umeandika nini hapa,nadhani unatakiwa kujifunza kuandika na kuleta hoja zenye kushawishi kwanza.
 
njaa hizi tabu tupu!
wewe unaamini tu,wengine wanaamini kwa uthibitisho
nyie watu wa dini mimi huwa nawashangaa kweli jaribu kuangalia mitaani utaelewa naongelea nini
 
njaa hizi tabu tupu!
wewe unaamini tu,wengine wanaamini kwa uthibitisho
nyie watu wa dini mimi huwa nawashangaa kweli jaribu kuangalia mitaani utaelewa naongelea nini
Mitaani kuna mengi hebu kuwa muwazi mkuu
 
Back
Top Bottom