Umemsahau fulbak wa Leeds united yule mu Irish1.JUNINHO PERNAMBUCANO.
2. DAVID BECKHAM.
3. ROBERTO CARLOS.
4. CRISTIANO RONALDO.
5. RONALDINHO.
6. ANDREA PIRLO.
7. ZINEDINE ZIDANE.
8.LIONEL MESSI.
9. LEIGHTON BAINES.
10. HAKAN CALHANOGLU.
Alisababisha Dida wa AC Milan kusahaulika kwa muda!Umemsahau fulbak wa Leeds united yule mu Irish
Alikua anaitwa Ian Harte muairish anapiga faulo utadhan kalaaniwaUmemsahau fulbak wa Leeds united yule mu Irish
Katika ulimwengu huu wa soka hasa katika mipira iliyokufa huwezi kumsahau jembe moja la Kiholanzi.....Petrus Ferdinandus Johannes "Pierre" van Hooijdonk huyu bwana alipita Celtic,Benfica,Fenerbahçe na kule nyumbani kwao Feyenoord.Kunadharia tukiacha ushabiki David Bekham alikua anasubiri sn kwa utaalam wa huyu jamaa.Hawa ni Wachezaji Hatari sana waliyowahi kutokea Duniani kwa Upigaji wa Mipira Iliyokufa(dead ball) Haijalishi walikua wanapiga mipira kutokea Kona gani Ila kati ya Mipira 5 lazima minne Itie Kambani.
JUHIHNO PERNAMBUCANO...Huyu alikua kijana wa kibrazili akicheza pale ufaransa klabu ya Olympique Lyonnais alikua hatari sana kwa dead ball.
SHUNKUKE NAKAMURA...Huyu alikua kijana wa Kijapani akikipiga pale Celtic ya Uskochi Makipa walikua wanajua shughuli yake naye alikua hatari sana kwa dead ball.
Hao ndo Mafundi Wangu wataalamu wa kupiga dead ball kuwashuhudia katika soka wakifuatiwa na akina David Berckam,Ronalddihno na hawa akina Messi kwa kizazi cha sasa.View attachment 489460View attachment 489461
Iane HarteUmemsahau fulbak wa Leeds united yule mu Irish
Mkuu Beckam alikua mkali sana huyu bwana hakufikia uwezo wa BecksKatika ulimwengu huu wa soka hasa katika mipira iliyokufa huwezi kumsahau jembe moja la Kiholanzi.....Petrus Ferdinandus Johannes "Pierre" van Hooijdonk huyu bwana alipita Celtic,Benfica,Fenerbahçe na kule nyumbani kwao Feyenoord.Kunadharia tukiacha ushabiki David Bekham alikua anasubiri sn kwa utaalam wa huyu jamaa.
Yah, kama kumbu kumbu zangu ziko sahihi alimtungua Dida kwenye robo fainal ya champions league, Milan akatolewaIane Harte
Uyu jamaa ile miguu yake sijui ilikua na Nini kuna game yao akiwa barca wakicheza na Villaleal ya akina Sorin,Senna huyu naye alikua kiungo mtamu sana sema kaja zama za akina xaxi na iniesta akakosa kuwika na Muargentina Flani Riqqueleme Sijui kama nimeandika vizuri naye alikua mzuri kwa dead ball,Gaucho alifunga goli zuri sana
labda inzaghi wa abajalo ya sinzaKama na Inzagi alikuwepo ktk hayo mambo ivi!!
Duh! Huu ukoo ni hatari kama ni hivyo. Mimi Nakamura nayemjua ni huyuHawa ni Wachezaji Hatari sana waliyowahi kutokea Duniani kwa Upigaji wa Mipira Iliyokufa(dead ball) Haijalishi walikua wanapiga mipira kutokea Kona gani Ila kati ya Mipira 5 lazima minne Itie Kambani.
JUHIHNO PERNAMBUCANO...Huyu alikua kijana wa kibrazili akicheza pale ufaransa klabu ya Olympique Lyonnais alikua hatari sana kwa dead ball.
SHUNKUKE NAKAMURA...Huyu alikua kijana wa Kijapani akikipiga pale Celtic ya Uskochi Makipa walikua wanajua shughuli yake naye alikua hatari sana kwa dead ball.
Hao ndo Mafundi Wangu wataalamu wa kupiga dead ball kuwashuhudia katika soka wakifuatiwa na akina David Berckam,Ronalddihno na hawa akina Messi kwa kizazi cha sasa.View attachment 489460View attachment 489461
Yule jamaa alikuwa nyoko anatumia mguu wa kushotoUmemsahau fulbak wa Leeds united yule mu Irish
Riquelme alikuwa mchezaji wa kawaida tu, kumfananisha na Zinedine Zidane ni ushemeji tuJuan roman requelme Alifananishwa na zinedine zizoo katika ubora wake. Hakuwa na bahati tu.
Hawa ni Wachezaji Hatari sana waliyowahi kutokea Duniani kwa Upigaji wa Mipira Iliyokufa(dead ball) Haijalishi walikua wanapiga mipira kutokea Kona gani Ila kati ya Mipira 5 lazima minne Itie Kambani.
JUHIHNO PERNAMBUCANO...Huyu alikua kijana wa kibrazili akicheza pale ufaransa klabu ya Olympique Lyonnais alikua hatari sana kwa dead ball.
SHUNKUKE NAKAMURA...Huyu alikua kijana wa Kijapani akikipiga pale Celtic ya Uskochi Makipa walikua wanajua shughuli yake naye alikua hatari sana kwa dead ball.
Hao ndo Mafundi Wangu wataalamu wa kupiga dead ball kuwashuhudia katika soka wakifuatiwa na akina David Berckam,Ronalddihno na hawa akina Messi kwa kizazi cha sasa.View attachment 489460View attachment 489461
namba 6 ndo anastahili kuwa wa kwanza kwa wachezaji niliopata bahati ya kuwashuhudia kwa mboni za macho yangu hao wengine wanamzidi majina tu ya mgongoni
- DIEGO ARMANDO MARADONA
- LEONEL MESSI/MCHAWI
- JUAN ROMAN REQUELME
- DAVID BECKHAM
- CRISTIANO RONALDO
- JUNINHO
- FERNANDO CARLOS REDONDO
- ORIEL ORTEGA
- HERNAN CRESPO
- DIEGO FORLAN
- SAVIOLA
- JUAN PABLO SORIN
- JAVIER ZANETTI
- ROBIN VAN PERSIE
- ROBERTO CARLOS
- PABLO AIMAR
- ROBERTO AYALA
- CLAUDIO JAVIER LOPEZ
- GUSTAVO LOPEZ
- WALTER SAMUEL
- GABRIEL BATISTUTA
Ongeeni yote ila kama hamjui basi mjue. Kwenye dead balls Mungu wa soka Diego Armando Maradona hakuwahi kuwa na mpinzani. Hao mnaowataja wooote ni kizazi cha juzi tuuu