Wapiga picha useles

sajumo

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2013
Posts
1,834
Reaction score
1,056
Naona sasa kuna haja ya kufundishana namna ya kupiga picha kuna baadhi ya picha unaona kabisa hazijabeba details muhim
Kutokana na mpiga picha kukosa timing ya picha au kukosea angle ya yeye kuchukulia hiyo picha


Kama hii picha huyu mpiga picha kakosea timing kwann asisubili mhusika ashushe mguu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa watoto kama sisi si tutapofuka
 
Huyu je alitaimu vizuri?
 
Hii ilinishtua sana mpaka nilipokaa sawa kutazama vizuri ndiyo nikaelewa kumbe ni mkoni

LINK HII
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…