Wapi wana nunua computer mbovu

Wapi wana nunua computer mbovu

mtanganyikaJr

Member
Joined
Jan 15, 2017
Posts
7
Reaction score
1
Mi ninauza compute aina ya HP elitebook 8440p
Core I5
HDD2500
Ram 4 GB
Inafanya kazi vizuri ikiwa na external monitor kwani tatizo lake ni Display kioo ndio kibovu
 
Kama uko dar nenda
Peleka pale Machinga gorofa ya tatu
 
Mi ninauza compute aina ya HP elitebook 8440p
Core I5
HDD2500
Ram 4 GB
Inafanya kazi vizuri ikiwa na external monitor kwani tatizo lake ni Display kioo ndio kibovu
Nenda machinga complex pale karume kuna watu wananunua

Ova
 
kioo ni 110,000-100,000 mkuu machinga complex
 
Mi ninauza compute aina ya HP elitebook 8440p
Core I5
HDD2500
Ram 4 GB
Inafanya kazi vizuri ikiwa na external monitor kwani tatizo lake ni Display kioo ndio kibovu
Chukua Laki moja, unipe machine hiyo.
 
Nna del inspiron 3521 nyeusi imekufa motherboard nauza kioo na case pamoja na ram vitu vingine vyote yake kwa elfu tisini kwa anaehitaji


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom