Wapi wana magari ya mikopo?

Wapi wana magari ya mikopo?

Hb wa Ilala

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2015
Posts
1,190
Reaction score
1,217
Habari wadau, nna 6.5M ila nahitaji gari mpya within 6-12 months niwe nimekamilisha mkopo kama kuna mtu anafahamu napoweza kupata hii huduma msaada tafadhali!

NB:Nahitaji IST specifically for business purposes!
 
Habari wadau, nna 6.5M ila nahitaji gari mpya within 6-12 months niwe nimekamilisha mkopo kama kuna mtu anafahamu napoweza kupata hii huduma msaada tafadhali!
NB:Nahitaji IST specifically for business purposes!
Hiyo uliyonayo unapata IST mbona

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo uliyonayo unapata IST mbona

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Vile matapeli tumeumia kwa sababu mleta uzi alikuwa ameshaingia kibla mwenyewe!😁😁😁
AI99Eb.jpg
 
Kuna baadhi ya makampuni ya kuagiza Magari yanatoa nafasi ya kulipa kwa instalments search humu JF utaona
 
Amesema mpya. Sasa mpya kwake ina tafsiri gani?

Kama ni mpya basi ni OKm au basi less than 1,000 kms.

Au yeye tafsiri yake ni newly imported from Japan.

Ama ambayo siyo second hand tangu itue Bongo.
Ama ambayo siyo second hand tangu itue Bongo.[emoji848][emoji848][emoji848]MOSTLY

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Wapigie hawa Binkhalifa motors watatimiza lengo lako, 0718512099
 
Habari wadau, nna 6.5M ila nahitaji gari mpya within 6-12 months niwe nimekamilisha mkopo kama kuna mtu anafahamu napoweza kupata hii huduma msaada tafadhali!
NB:Nahitaji IST specifically for business purposes!
kama unataka ya biashara

chukua second hand na chenji inarudi
IST ni kat ya gar ngumu sanaa
Screenshot_20210827-152245.jpg
 
Wapo wengi ila wanariba kubwa gari ya million 13 utalipa million 16
 
Back
Top Bottom