Wapi Ubalozi wa Africa Kusini.

Wapi Ubalozi wa Africa Kusini.

MKURABITA

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2010
Posts
317
Reaction score
126
Mi si mwenyeji sana hapa Dsm. Naomba kufahamu wapi ulipo Ubalozi wa Afrika kusini ukitokea K'koo au Ubungo. Asante kwa msaada.
 
Ukitokea Ubungo panda magari ya Msasani kituo sikikumbuki vizuri.
 
Ukitokea Ubungo panda magari ya Msasani kituo sikikumbuki vizuri.
Asante kwa msaada wako huo. Nimepata shule huko nataka kwenda kuulizia utaratibu wa kupata visa.
 
Kama wewe ni mtanzania sidhani kama unahitaji visa. Labda ukaulizie utaratibu mwingine wa kwenda huko.
 
Kama wewe ni mtanzania sidhani kama unahitaji visa. Labda ukaulizie utaratibu mwingine wa kwenda huko.
Nashukuru nimefika huko japo usafiri wa kwenda huko kama huna private car ni mgumu. Ni kweli hakuna visa, ila wanatoa study permit ambayo gharama yake ni 90,000/=, na unatakiwa kulipa repatriation fee (refundable ukirudi) 600,000/=.
 
Upo masaki kama unatokea ubungo au kariakoo panda mabasi ya masaki shuka masaki mwisho ulizia uonyeshwe mwaya road maeneo europer super market ni hatua kama 30 kutoka hapo tena ipo kwenye nyumba ya mkuu aliyestahafu kwa kashfa ya richmond
 
Upo masaki kama unatokea ubungo au kariakoo panda mabasi ya masaki shuka masaki mwisho ulizia uonyeshwe mwaya road maeneo europer super market ni hatua kama 30 kutoka hapo tena ipo kwenye nyumba ya mkuu aliyestahafu kwa kashfa ya richmond
Mwili wake umeshaoza kaburini kwa sasa
 
Back
Top Bottom