Wapi Sugu?

Wapi Sugu?

Duduvwili

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2015
Posts
4,700
Reaction score
4,902
Wakuu nipo mjini mbeya hapa ni mara mbili sasa Mh Raisi JPM anamuulizia kijana wetu Sugu awasalimu wananchi lakini kijana hataki kujitokeza lakini pale Songwe alisadikika kuwepo hii imekaeje wadau?
 
Magufuli ni kisanga
awamu yake hakuna linaloshindikana
 
Wakuu nipo mjini mbeya hapa ni mara mbili sasa Mh Raisi JPM anamuulizia kijana wetu Sugu awasalimu wananchi lakini kijana hataki kujitokeza lakini pale Songwe alisadikika kuwepo hii imekaeje wadau?
Raisi wa Mbeya huyu hapa
Sugu.jpg
 
Ahsante kwa picha mkuu,ila inakera maana no 1 anatembelea Mbeya kama Rais wa nchi SIO chairman wa chama dola.ila kuna wenye kujipendekeza kwa nyuma naaona wamevaa green na yellow!!,kuna mwenye picha ya Rais wa awamu ya kwanza aliyovaa kiccm please
Hao waseeng....wananikeraga kwelikweli yaan kila mahali tu na vinjano + kijani zao
 
Yupo kajichimbia zake anawaza atalipaje mkopo wa hoteli na ubunge wake ndio unafikia ukingoni.
 
mbona mi nimemuona?mh.kaanza kutambulisha waziri mmoja mmoja then akatajwa na tulia akafata mkuu wa mkoa mwisho akasema tunao na wabunge mbalimbali ila hajawataja kwa majina yao!sema sugu alikua kasimama karibu ya waziri mwakyembe
 
Sugu yupo na anapewa heshima na mywether.Na akitambulishwa anashangiliwa sanaaaa,na ananyoosha vidole 2.Nilichokiona kuna mapandikizi ccm yamepandikizwa Kwa makusudi kabisa.


Mbeya nchi rais sugu
 
Itakapompendeza Mungu na Rais wa JMT nikateuliwa kuwa mkuu wa mkoa au hata wa wilaya, nitapiga marufuku watu kuvaa sare za chama katika matukio muhimu ya kitaifa kama Haya.

Naamini kuwa hii itasaidia kuleta umoja na mshikamano wa kitaifa bila kujali itikadi za kisiasa na kulinda hadhi ya Rais kama "head of the state" badala ya kumdunisha na kumwonyesha kama mwenyekiti wa chama.
 
Wakuu nipo mjini mbeya hapa ni mara mbili sasa Mh Raisi JPM anamuulizia kijana wetu Sugu awasalimu wananchi lakini kijana hataki kujitokeza lakini pale Songwe alisadikika kuwepo hii imekaeje wadau?
Hawaruhusiwi kufanya mikutano kwa sasa, uchaguzi ukifika atajitokeza.
 
Back
Top Bottom