wakuu naombeni msaada wenu wapi ntapata sticker za kuweka ukutani badala ya kupaga rangi nyumba.na bei pia ikiwezekana kwa square meter ni shilingi ngapi.hapa dar
Kaka zinaitwa wall papers,kama alivyosema mdau pale Game zipo za kumwaga lakini mi nimeona si nzuri ,huenda ungeenda Nairobi unaweza pata nyingi na aina tofauti,pia jaribu kule Chang'ombe magodown ukifika Veta chang'ombe nbele kidogo kata kulia kwenye viwanda kuna kama supermarket ya vifaa vya ujenzi vya kisasa utapata ,jina nimesahau hat kwenye mtandao lipo ,hangaika kidogo ku google