kelvin Brown
Member
- Aug 10, 2012
- 7
- 0
naomba ufafanuzi kuhusu application na soko la ajila kwa ujumla kwa mtu anayechukua bachelor of science in chemistry.
naomba ufafanuzi kuhusu application na soko la ajila kwa ujumla kwa mtu anayechukua bachelor of science in chemistry.
naomba ufafanuzi kuhusu application na soko la ajila kwa ujumla kwa mtu anayechukua bachelor of science in chemistry.
Yah wakuu vp na hii barchelor of science in physics naomba mnijuze kama inalipa au ina soko la ajira au ndo kuishia ualimu tu.
naomba ufafanuzi kuhusu application na soko la ajila kwa ujumla kwa mtu anayechukua bachelor of science in chemistry.
Yah wakuu vp na hii barchelor of science in physics naomba mnijuze kama inalipa au ina soko la ajira au ndo kuishia ualimu tu.
ingekuwa uticha ungekuwa Education mze
kwani ualimu sio kazi:A S 465:Yah wakuu vp na hii barchelor of science in physics naomba mnijuze kama inalipa au ina soko la ajira au ndo kuishia ualimu tu.
kwani ualimu sio kazi:A S 465: