Wapi nitapata vifaa vya kilimo na umwagiliaji

Wapi nitapata vifaa vya kilimo na umwagiliaji

chavalla

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2017
Posts
451
Reaction score
354
Wapi nitapa vifaa vya kilimo na umwagiliaji.

Pembejeo machine za kuvuta maji na washauri wazuri kwenye kilimo cha umwagiliaji. Maana naona biashara sasa inabana sana. Natanguliza shukurani.kwenu wadau.

Naweka hoja kwenu
 
Wapi nitapa vifaa vya kilimo na umwagiliaji. Pembejeo machine za kuvuta maji na washauri wazuri kwenye kilimo cha umwagiliaji. Maana naona biashara sasa inabana sana. Natanguliza shukurani.kwenu wadau. Naweka hoja kwenu
Uko mkoa gani?
 
Nakushauri pia usiingie mzima mzima kwenye kilimo, maana unaweza kuja kugombana na kila mtu atakayekuwa anazungumzia kuhusu faida za kilimo mbele yako.
 
Wapi nitapa vifaa vya kilimo na umwagiliaji.

Pembejeo machine za kuvuta maji na washauri wazuri kwenye kilimo cha umwagiliaji. Maana naona biashara sasa inabana sana. Natanguliza shukurani.kwenu wadau.

Naweka hoja kwenu
Sisi tunavyo boss..tuna vifaa vyote vinavyo husika na umwagiliaji kwa kutumia drip irrigation na sprinklers pia,tuna driplines,filters,connectors,sprinkler heads n.k, pia tuna husika na kudesign na kufunga mifumo hii mashambani na tuna waandisi wenye uzoefu pia.Kwa maswali na ushauri tafadhali wasiliana nasi kwa namba 0752022108
 

Attachments

  • 20180826_182149.jpg
    20180826_182149.jpg
    369.1 KB · Views: 86
Sisi tunavyo boss..tuna vifaa vyote vinavyo husika na umwagiliaji kwa kutumia drip irrigation na sprinklers pia,tuna driplines,filters,connectors,sprinkler heads n.k, pia tuna husika na kudesign na kufunga mifumo hii mashambani na tuna waandisi wenye uzoefu pia.Kwa maswali na ushauri tafadhali wasiliana nasi kwa namba 0752022108
Asante mkuu
 
Back
Top Bottom