Nenda milenium tower pale mataa ya shekilango mbele mita kama 5 hivi kulia kama unatoka stendi kubwa ya mkoani kuna gordawng kubwaa hata ukitaka za south au india ziko kibao mi juzi nimetoka kuchukua hapo bei zao ni nzuri mnoNataufa tiles za kutoka Spain kwa bei nafuu. Ni maduka gani nawezaa kupata kwa Dar es salaam?
Ninaposema bei nafuu sisemi tiles za hovyo bali najua wafanyabiashara wanatofautia bei. Wapi wanauza angalau kwa bei nzuri?
Asanteni.
Bei zikoje kwa square meter?Nenda milenium tower pale mataa ya shekilango mbele mita kama 5 hivi kulia kama unatoka stendi kubwa ya mkoani kuna gordawng kubwaa hata ukitaka za south au india ziko kibao mi juzi nimetoka kuchukua hapo bei zao ni nzuri mno