Erick Richard R-Madrid
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 399
- 279
Salamu ndugu wa Jukwaa.
Nimepata wazo la kufanya biashara ya kununua vitu vya ki electronics ikiwemo SIMU, TV, FLASH, CHAJI, PROTECTOR ZA SIMU kwa bei ya jumla kutoka nchi tofauti (kampuni) yaani nje ya nchi kisha kuutuma mzigo nchini kwa ajili ya kuuza kwa reja reja nchini pia kwa jumla ikiwezekana.
Napenda kufahamu au kuelekezwa yafuatayo kwa wenye uelewa:
1. Namna ya kupata vitu hivo labda kwa njia ya website au vinginevyo.
2. Namna sahii ya mzigo utakavyosafirishwa hadi Nchini na kunifikia.
3. Nitapataje wakala wa kuweza kunisafirishia au kuweza kunifanyia manunuzi kwa nchi au kampuni husika.
4. Changamoto zitokanazo na kuagiza mzigo kuja nchini.
Nitashukuru kama nitafahamishwa yote hayo na kuelewa, mwenye maoni ushauri asisite kunielekeza maana ndo mipango yangu hii mwakani nianze vizuri na nifanikiwe. NITAFURAHI KWA MAONI YENU.
ASANTENI..
Nimepata wazo la kufanya biashara ya kununua vitu vya ki electronics ikiwemo SIMU, TV, FLASH, CHAJI, PROTECTOR ZA SIMU kwa bei ya jumla kutoka nchi tofauti (kampuni) yaani nje ya nchi kisha kuutuma mzigo nchini kwa ajili ya kuuza kwa reja reja nchini pia kwa jumla ikiwezekana.
Napenda kufahamu au kuelekezwa yafuatayo kwa wenye uelewa:
1. Namna ya kupata vitu hivo labda kwa njia ya website au vinginevyo.
2. Namna sahii ya mzigo utakavyosafirishwa hadi Nchini na kunifikia.
3. Nitapataje wakala wa kuweza kunisafirishia au kuweza kunifanyia manunuzi kwa nchi au kampuni husika.
4. Changamoto zitokanazo na kuagiza mzigo kuja nchini.
Nitashukuru kama nitafahamishwa yote hayo na kuelewa, mwenye maoni ushauri asisite kunielekeza maana ndo mipango yangu hii mwakani nianze vizuri na nifanikiwe. NITAFURAHI KWA MAONI YENU.
ASANTENI..