wakuu natafuta nyimbo za hawa jamaa kama wazo la leo, yupi bora kati ya ndugu na rafiki na kila mtu na starehe yake. pia ntafurahi kupata wimbo wa sugu moto chini wa sugu. natanguliza shukrani.
hazifanani shibe na njaa, hawachekani punguani na kichaa. jamaa walitisha sana. mkuu hauwezi ukaziweka hapa?Ninazo zote hizo kuna mwingine unaitwa "Haiwezekani" moja ya mashairi yake
Haiwezekani baharia asile ganja haiwezekani mmakonde kutochanja.
Rege zimepigwa sana lakini ubora upo pale pale ingekuwa vipi asingekuwepo mandela?
Ingia kwa website ya Tafuta, Sikiliza, Furahia muziki| Muziki.net humo utapata ngoma nyingi sana za bongo flava za zamani!
Ninazo zote hizo kuna mwingine unaitwa "Haiwezekani" moja ya mashairi yake
Haiwezekani baharia asile ganja haiwezekani mmakonde kutochanja.
Rege zimepigwa sana lakini ubora upo pale pale ingekuwa vipi asingekuwepo mandela?
Kakaaaaaa,Ninazo zote hizo kuna mwingine unaitwa "Haiwezekani" moja ya mashairi yake
Haiwezekani baharia asile ganja haiwezekani mmakonde kutochanja.
Rege zimepigwa sana lakini ubora upo pale pale ingekuwa vipi asingekuwepo mandela?
Zipo nikikagua library nitazi_attach.Kakaaaaaa,
Bado unazo hizi ngoma??
Pia na Ule wa HILI WAZO LA LEO wa hawa hawa jamaa
Na Mimi nazitamani sana maana jamaa wanajua kiswahili balsa waleZipo nikikagua library nitazi_attach.
Bro fanya utuwekee attachments ya hizo ngoma plizZipo nikikagua library nitazi_attach.
U made my month
Aminia Mkuu....Tupo Pamoja......Nilichelewa Kuiona hii Thread Japo Mtakaji alianzisha zamani sana 2014.U made my month
umetisha sana mkuu King kong. Ndiyo nimeziona leo, shukrani. Malcom Lumumba unawasikilizaga hawa jamaa?
Pamoja Sana Mkuu R.Gumetisha sana mkuu King kong. Ndiyo nimeziona leo, shukrani. Malcom Lumumba unawasikilizaga hawa jamaa?
Nawapata mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]umetisha sana mkuu King kong. Ndiyo nimeziona leo, shukrani. Malcom Lumumba unawasikilizaga hawa jamaa?