Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,324
- 18,489
Ungeweka wazi hio shida watu wangekupata ufumbuzi,Ili usiipoteza nyumba hio maana pesa ya mkopo huwa ni tamu,kulipa chungu.Siwezi kuuza,maana ilipo ndio na Mimi nakaa nyumba ya uwani. Nauzaje sasa? Nina shida tu na hiyo pesa