Wapi nitapata Mahindi kwa bei poa?

Wapi nitapata Mahindi kwa bei poa?

AYO AYO

Member
Joined
Nov 16, 2015
Posts
30
Reaction score
26
Habari wana Jf?
Natafuta Mahindi kwa bei ya chini angalau gunia liwe Tshs 45,000/-
Kwa wenyeji wa mikoani huko naomba mwongozo.
Nipo Mwanza mimi.
Mawasiliano
0683011003 whatsapp/call
Au pia°0762972021
Msaada wenu
 
Habari wana Jf?
Natafuta Mahindi kwa bei ya chini angalau gunia liwe Tshs 45,000/-
Kwa wenyeji wa mikoani huko naomba mwongozo.
Nipo Mwanza mimi.
Mawasiliano
0683011003 whatsapp/call
Au pia°0762972021
Msaada wenu
Unahitaji Gunia ngapi?
 
Back
Top Bottom