udsm siku hizi kuna kozi inaitwa B.A Law Enforcement. Ni shahada inayohusiana na masuala ya Ulinzi na Usalama. Miongoni mwa masomo yanayofundishwa ni INTELIJENSIA
cha kufanya nenda kambo yeyote ya jeshi anza kutukana ovyo kwa sautu kubwa,shusha bendera,nenda kamwage chakula mgahawani kwao! ukifanikiwa kutoka salama basi utakuwa umefuzu mkuu
udsm siku hizi kuna kozi inaitwa B.A Law Enforcement. Ni shahada inayohusiana na masuala ya Ulinzi na Usalama. Miongoni mwa masomo yanayofundishwa ni INTELIJENSIA
Kampuni za ulinzi za binafsi nyingi tu. Lakini makampuni makubwa mengi ya sirikali na binafsi huajiri afisa ulinzi. Mashirika ya UN hasa huko Afghanistan.
Kwa kuongezea aina nyingine ya intelejensia ni Jamii Intelligence.
Kampuni za ulinzi za binafsi nyingi tu. Lakini makampuni makubwa mengi ya sirikali na binafsi huajiri afisa ulinzi. Mashirika ya UN hasa huko Afghanistan.
Kwa kuongezea aina nyingine ya intelejensia ni Jamii Intelligence.
nijuavyo mimi kwanza wanaangalia kipaji chako kipoje...hapo ndio wanapoanzia...km USA hua wanawachukua wale vijana wenye uwezo sana vyuoni au high school na kuanza wafuatilia taratibu pia kupitia walimu wao...wao ndio wanakua viunganishi wakubwa wa hio program.
baada ya hapo unajikuta tu umekwisha ingia kwakua kuna vitu watakua wanakupatia kupitia mwalimu wako bila kujua at last wanakuja kukifahamisha kua upo ndani ya usalama...but unakua umefanya vitu vingi sana mpk wanakuja kukujulisha....baada ya hapo wanakuchukua na kukupeleka kwenye program zao rasmi za kijajusi na hii inategemea na kupaji chako....km ni computer expert utapelekwa huko...km ni uchumi utapelekwa huko...unadhani nchi nyingine wanafilisiwa vipi km sio mafunzo ya ujasusi wa kiuchumi...ni hayo