Naomba msaada wapi naweza pata hii dawa (dapson tab) nlienda na mgonjwa wangu kwa dermatologist alikuwa na kidonda mguuni akaandika hiyo dawa nimezunguka maduka yote hapa mbeya nimekosa.
Wakuu poleni na majukum .naomba msaada wapi naweza pata hii dawa (dapson tab) nlienda na mgonjwa wangu kwa dermatologist alikuwa na kidonda mguuni akaandika hiyo dawa . nimezunguka maduka yote hapa mbeya nmekosa. tafadhali msaada
Wakuu poleni na majukum .naomba msaada wapi naweza pata hii dawa (dapson tab) nlienda na mgonjwa wangu kwa dermatologist alikuwa na kidonda mguuni akaandika hiyo dawa . nimezunguka maduka yote hapa mbeya nmekosa. tafadhali msaada