Wapi nitapa video clips za Mh Suleiman Wachupucha?

Kwa mwenye ile video clip yenye wimbo wa Achukucha ambao kuna jamaa alikuwa Jukwani akasema CCM itaondoka kama alivyoondoka Firauni anisaidie bajameni.
Umekumbuka nini mkuu?
 
Unajua mi kila siku kuwa neno firahuni navyofahamu kuwa ni tusi kumbe sio
Lilichukuliwa hivyo kutokana na ukatili aliokuwa nao huyu jamaa kwa jamii ya waisrael ambao walikuwa utumwani huko misri.
 
Lilichukuliwa hivyo kutokana na ukatili aliokuwa nao huyu jamaa kwa jamii ya waisrael ambao walikuwa utumwani huko misri.
Hill lilikuwa in jina halisi so kwa sababu ya kuwatesa Waisreli na kumbuka kwamba wakati huo watumwa ndio walikuwa wanafanyishwa Kazi ngumu dunia nzima
 
Hill lilikuwa in jina halisi so kwa sababu ya kuwatesa Waisreli na kumbuka kwamba wakati huo watumwa ndio walikuwa wanafanyishwa Kazi ngumu dunia nzima
Chukua nilichoandika unganisha na niliemjibu halafu uamue kama nimesema ni jina lake au sio jina lake, halafuu kasome nilichomjibu alieuliza "Ni nini maana ya Firauni" ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…