wapi ninunue TV Box Dar

wapi ninunue TV Box Dar

Mas The Great

Senior Member
Joined
Dec 27, 2011
Posts
150
Reaction score
64
ndugu wadau. nimejitahidi sana kutafuta kifaa ambacho kitanisaidia kuitumia computer yangu kama TV lakini nimekosa. maduka ya kariakoo walinambia nitafute kitu kinaitwa TV Box, kariakoo na Posta kote nimekosa. wengine waliniambia nitafute kitu kinaitwa TV card lakiini bado nimekosa.

je ni kwa sababu teknolojia imeshabadilika na kupitwa na wakati? je nikikipata nikakinunua naweza kukitumia kwenye Desk top au Lap top ifanye kazi kama TV?
wadau naomba mwenye msaada wa kukipata na hata matumizi yake anisaidie
 
Zinapatika mkuu, me nilininua Kariakoo kwenye duka la vifaa vya radio hasa za magari, na nilinunua kwa 45k nilikuwa natumia ila toka walipositisha analogy wakaweka digital nikashindwa kupata decoder na antena au kidish kwa matumizi niliyokuwa nayo. Kama vp njoo inbox
 
Zinapatika mkuu, me nilininua Kariakoo kwenye duka la vifaa vya radio hasa za magari, na nilinunua kwa 45k nilikuwa natumia ila toka walipositisha analogy wakaweka digital nikashindwa kupata decoder na antena au kidish kwa matumizi niliyokuwa nayo. Kama vp njoo inbox

mkuu ina maana vinaweza kufanya kazi hadi kwenye teknolojia hii ya digitali? hebu nipe contact zako kupitia simu namba 0788437778. asante
 
ImageUploadedByJamiiForums1408997503.358229.jpg ImageUploadedByJamiiForums1408997688.758969.jpg ImageUploadedByJamiiForums1408997728.575301.jpg . Just Google ROKU3. Huu mzigo inafanya kazi Kama unavyoiona Smart Tv. Kwa atakayeihitaji, Bei yake ni Tsh 210,000/ tu. Waweza Angalia Movie toka Netiflix/Hulu pia kina YouTube na adult programs.
 
Back
Top Bottom