Nenda Hospitali ya Mvumi DCT ipo Dodoma.Hiyo ndio the best na uzoefu mkubwa kwa matibabu ya matatizo/magonjwa ya macho kwa hapa TanzaniaNaombeni msaada nimekuwa nikihangaika sana na macho yangu kwa miaka 10 sasa lakn sioni nafuu
Naomba kuuliza kama kunamtu ameshawahi kutibiwa macho hosp hizo mbili nataka nitibiwe moja wapo ambayo itakua bora zaidi. AsanteniView attachment 2877245
asante sanaNenda Hospitali ya Mvumi DCT ipo Dodoma.Hiyo ndio the best na uzoefu mkubwa kwa matibabu ya matatizo/magonjwa ya macho kwa hapa Tanzania
asanteCCBRT
Aisee hospitali zote za macho kubwa hapa tz nimeenda. Kama hutojali nicheki labda nikuelekeze 0745090905Naombeni msaada nimekuwa nikihangaika sana na macho yangu kwa miaka 10 sasa lakini sioni nafuu.
Naomba kuuliza kama kuna mtu ameshawahi kutibiwa macho hospitali hizo mbili nataka nitibiwe moja wapo ambayo itakua bora zaidi.
Asanteni.
Macho yako Yana changamoto gani? Kama mshiko unao nenda eye international au Dr Argaways.Naombeni msaada nimekuwa nikihangaika sana na macho yangu kwa miaka 10 sasa lakini sioni nafuu.
Naomba kuuliza kama kuna mtu ameshawahi kutibiwa macho hospitali hizo mbili nataka nitibiwe moja wapo ambayo itakua bora zaidi.
Asanteni.
Inbox Vipi wakati hii ni forum inanufaisha wengi?Aisee hospitali zote za macho kubwa hapa tz nimeenda. Kama hutojali nicheki labda nikuelekeze 0745090905
Aisee hospitali zote za macho kubwa hapa tz nimeenda. Kama hutojali nicheki labda nikuelekeze 0745090
si useme hapa mkuu unadhani wagonjwa wa macho yupo peke yake weka hapa ili na wengine waone
Weka mambo hadharani... Au unataka kumchuna mgonjwa?Aisee hospitali zote za macho kubwa hapa tz nimeenda. Kama hutojali nicheki labda nikuelekeze 0745090905
Nimeona uzi asante sana, hii hosp ipo maeneo gani? Hawatumii bima? Maana nina ka NHIF kanguNenda Eye International Clinic wako vizuri sana ila bei za kizungu ujipange
WHO: Takriban nusu ya watu duniani watakuwa na matatizo ya macho kufikia 2050.
Na Dr.Kenge MD, Jini makini,vidole Madini 2024, Tabasamu la furaha linashamiri nyusoni kwa wengi.Ni saa ya Kirumi inaposoma kukamilika kwa Majuma 365 ambayo kwa wanajiografia wanasema "Earth completes its orbit within 365½ days" .Kukamilika kwa mzunguko wa dunia ambao ndani kuna misimu minne...www.jamiiforums.com
Wapo victoria karibu na jengo la Tigo, NHIF acceptable lakini issue za oparesheni NHIF inacover half then nyingine unalipa mwenyewe.Nimeona uzi asante sana, hii hosp ipo maeneo gani? Hawatumii bima? Maana nina ka NHIF kangu
Wapo victoria karibu na jengo la Tigo, NHIF acceptable lakini issue za oparesheni NHIF inacover half then nyingine unalipa mwenyewe.
Fika Kwanza mengine utayajuwa hapohapo kuna madaktari Waturuki wapo vizuri.
Hata Tigo wako mbele junction ya kwenda Kwa Dr Kairuki.Karibu na Vodacom sio Tigo...
Hata Tigo wako mbele junction ya kwenda Kwa Dr Kairuki.
Aisee hospitali zote za macho kubwa hapa tz nimeenda. Kama hutojali nicheki labda nikuelekeze 0745090905
Kwanza sina ubinafsi wa aina yoyote . Sio kila muda mtu anaweza akaandika details za kutosha humu.Weka details humu kwa faida ya wengi avha ubinafsi mkuu