Black Panther X
JF-Expert Member
- Sep 4, 2014
- 227
- 650
Naomba cheki picha hapo. Natafuta Oats kwa kilo (ikiwezekana kilo 5 kwenda juu). Niko Dar ila kama inapatikana katika mikoa mingine hamna neno pia.
Hii kitu nimeikula sana miaka flani nilipokua nikiishi nchi flani... Nirahisi sana kuiandaa, na ndani ya dakika mbili chakula chako kinakua tayari.Naomba cheki picha hapo. Natafuta Oats kwa kilo (ikiwezekana kilo 5 kwenda juu). Niko Dar. Ila kama inapatikana katika mikoa mingine hamna neno pia.
Ndo kile unaweka maziwa eeee.Hii kitu nimeikula sana miaka flani nilipokua nikiishi nchi flani...
Nirahisi sana kuiandaa, na ndani ya dakika mbili chakula chako kinakua tayari
Ndio mkuu... Maziwa fresh unayachemsha.Ndo kile unaweka maziwa eeee