Kutokana na biashara ya ushindan ,biashara ni matangazo nimeona kutumia njia ya mifuko itanisaidia kwa njia moja au nyingine.wanajf mumenisaidia sana naomba msinichoke kunisaidia kwan ajira zimekuwa ngumu sana.Na njia hii naona inanisaidia sana.hivyo wakuu wanaofahamu waniambie wapi naweza kutengenezewa ikiwezekana na gharama zake kabisa.na wapi wanapatina .natanguliza shukurun za dhati