+255718230117 wasiliana na huyo wakala ni kweli mazuri anaitwa dada IreneHabari wazee, kuna majiko fulani yalikua maarufu sana miaka ya 2008 mwenyewe nilishawahi tumia home,nimejaribu kutafuta sahivi nimekosa, kwa mwenye kujua wapi naweza pata kwa Dar naomba anijulishe maana namba zao hazipatikani na hawana account social network yoyote.
Picha hiyo hapo chini View attachment 1358389
Sent using Jamii Forums mobile app
jon Stefano na Mbao za Mawe au mbao za shanga ndo wauzaji wa hayo majiko
Sent using Jamii Forums mobile app
+255718230117 wasiliana na huyo wakala ni kweli mazuri anaitwa dada Irene
angalia picha hapo juu mkuuJe yanatumia gesi aulah.
Habari wazee, kuna majiko fulani yalikua maarufu sana miaka ya 2008 mwenyewe nilishawahi tumia home,nimejaribu kutafuta sahivi nimekosa, kwa mwenye kujua wapi naweza pata kwa Dar naomba anijulishe maana namba zao hazipatikani na hawana account social network yoyote.
Picha hiyo hapo chini View attachment 1358389
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wazee, kuna majiko fulani yalikua maarufu sana miaka ya 2008 mwenyewe nilishawahi tumia home,nimejaribu kutafuta sahivi nimekosa, kwa mwenye kujua wapi naweza pata kwa Dar naomba anijulishe maana namba zao hazipatikani na hawana account social network yoyote.
Picha hiyo hapo chini View attachment 1358389
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile mbinu ya marketing iliyotumika sio ya awamu hii
+255718230117 wasiliana na huyo wakala ni kweli mazuri anaitwa dada Irene
Kwa bachelor linafaa hilo jiko kiaina.
Ubungo kama unatoka mwenge kwenye daraja kushoto karibu na m a chine ya mbao
Sent using Jamii Forums mobile app
Una hakika gan si watu fulani wanauliza na kujijibu kwa sababu za kibiashara? Mambo ya fursa na kufursikaKwa mara ya kwanza ndani ya muda mrefu mtu kaja kuuliza akapewa jibu faster. Hii ndo maana hasa ya JF
Ngoja nikutumie namba ya jamaa alinipitishia juzi Kati,Habari wazee, kuna majiko fulani yalikua maarufu sana miaka ya 2008 mwenyewe nilishawahi tumia home,nimejaribu kutafuta sahivi nimekosa, kwa mwenye kujua wapi naweza pata kwa Dar naomba anijulishe maana namba zao hazipatikani na hawana account social network yoyote.
Picha hiyo hapo chini View attachment 1358389
Sent using Jamii Forums mobile app
0767 008 531